<p><p>
</p></p>
<p><p>&nbsp;</p></p>
<p>unachotakiwa kufanya ni ku rescue data zako kwa removable h/d na kuzihifadhi kwenye coputer nyingine kisha fomat kama nia ni kuifomati,mambo ya os mbili za nini? piga chini hiyo weka fresh!</p>
Huenda hujakutana nayo,lakini ni juzi tu tulikuwa na jamaa tunajadiri,rushwa iko kila kona,mahakamani,police,barabarani(trafic),hospitari,ofisi za huduma za kiserikali,n.k.je,pccb wanaweza maliza kitu hii au ........
Ni kweli Uko sawa,ndio maana mara zote tunashauliwa kutumia busara zaidi ya akili tunapofanya maamuzi yetu,inasikitisha!
lakini driver wa panton na walinzi wake wanatakiwa kufahamu ufahamu wa abiria wao na kuchukua tahadhari zaidi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.