Habari ya leo Wakuu!
Siwezi kuaccess contacts kwenye simu wala kupiga. nimefanya factory reset ila bado tatizo liko palepale. ukifungua contacts au call log inaandika "The application contact (process .comsonyericsson.android.social phonebook) has stopped unespectedely. Please try again"...
Nimedownload VLB Beta ila nilipoifungua inanipa warning ambayo ikanifanya nisite kuitumia. Kujaribu VLC nyingine ikanipa same warning, na warning zenyewe ni
*This version is not stable
*Do not use it unless you know what your doing
*It might kill your kitten and destroy your house
*Use it at...
Hizi gari ukifuatilia historia yake si za toyota na zilitengenezwa na gmc marekan ili ziuzwe japan na wakaingia ubia na toyota kuweka nembo yao tu ili waziuze kirahisi japan. Ila hakuna mkono wala kifaa cha Toyota pale. Zilitengenezwa gari elfu kumi tu.
Unapoamua kuinunua have idea of that...
Kama simu na nguo unalipia import duty na vat. Computer, vitabu mara nyingi hulipii, kwa vitu vinavyopitia posta inategemea na mtu wa tra utakayemkuta cku hiyo ambaye ndo anakukadiria kodi. Mara nyingi sana seller huwa haandiki bei halisi kwenye pakage kukusaidia mnunuzi kutokulipia kodi kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.