Eti msafara mkubwa! Atamkimbia mpaka lini! Siku ya Kumkabidhi Nchi atatuma mwakilishi! Sifa mojawapo ya Marehemu kuzikwa na watu wengi,leo hii haitakiwi! Siasa za kototoo!
Namhurumia Huyu kipaza sauti! Nimeicheki kwa makini picha ya 24 Hours, niliuongopa usalama wa taifa kwa maana ya kufanya kazi na pia siasa niliichikia. Jinsi aliyepo kwenye madaraka anavyojizatiti huku anaye taka kuongia akimfanyia fitina aliye kwenye madaraka. Na anaye pigwa vita akiingia...
Mkuu tupo pamoja! Kwa range sipindui iwe ya kinduu au kike hayo ni makelele tu! Akipita Range Rover hata asiyejua gari lazima aitolee macho! Range tamu has a muungurumo wake,tatizo wabongo mnafikiri kila gari inatengenezwa kwa kuangalia njia zenu! Range si ya vjjn,hii gari kwake lami utaipenda...
Mkuu sikumanisha Tanzania kupigana na Marekani,mbali nilikuwa nasemea ubora wa jeshi letu ardhini. Hata kuna taarifa nchi ya Burundi imeiomba Tanzania kwenda kuwasaka waasi. Je hakuna nchi nyingine? Huwezi enda benki kutibiwa malaria au uende hospitali kuhifadhi fedha! Na kote huko wakienda...
Pamoja mkuu! Hatungombani ,bali tunaelimisha kama vijana na tena kama wanaume,ulinzi unaanza sisi wananchi kwanza. Tusije ona adui tukashindwa kukabili eti tunasubilia polisi au jwtz.
Ha ha ha ha ah! Umenichekesha kweli! Ndugu zangu wa kitunda wakiwa na baiskeli zao huku wamefunga sime kwenye baiskeli zao huonekana washamba! Hawajui maisha ni vita na muda wowote hali inaweza chafuka! Sisi huku kama serikali ingeruhusu tumiliki siraha kabla ya kuwaza kununua viipad sijui...
Ona sasa unashindwa kutofautisha kuchati na kuongea! Mimi naongeo na wewe hapa! Alafu fikra sahihi huja kwa kutumia lugha yako, ni kweli nina tatizo la r na l na pia nga na ga ,nimeathiriwa na lugha ya kikurya na wala siogopi kukosolewa na yoyote na popote nikianza kuongea natambulika,hata...
Kwahio kwa akili yako unafikili hii serikali yako itakuletea ndege zsizo na rubani! Hujawahi kujiuliza kwanini jeshi letu lipo vzuri sana ardhini? Hata Amini alikuwa vzuri angani ,lakini nini kilimpata!Wamerakani pamoja na nguvu zao kijeshi na kuwasidia wairaki hujiulizi kwanini ObOMA HAPELEKI...
kwa tulio soma histolia tulifundishwa hivi! Hasa kwenye active resistsnce na passive resistnce,tuliambiwa hivi au tulifundishwa hivi wanaume wa pwani wao walisema,wao wote ni wanawake! Eti ndo ilikuwa resistsnce yao! Kumbe wakiogopa shuruba au kazi za kiume. Kwahio si shangai wewe kuona...
Huku kwetu Mara,ukimpa mwanaume wali usifikili ndo basi! Hapo mpaka ugali uje ndo umemaliza kazi! Wali ni chakula cha kina mama wakitoka kujifungua tena kwa ushauri wa watalaamu wa afya! Eti wali ndo bonge la msosi! Mi nikitoka lingembe napiga busara jagi mbili ndo nasubilia chai na mihongo...
Si ndo hawa walisema wamempiga makondakta,alafu kesho yake anauza sura wala haijatutusika kama Patcho Mwamba akipata baadhi vilevi vinamvibisha sura! Watoto wenyewe mateja! Si mnaonaga hata maandamano huko huwa hayawezekazni kabisa mpaka Mwanza,Arusha au Mbeya. Hapo mateja tu hivyo je wawaone...
Poor Tanzania! Shamba la Bibi!
Hawa wote wameshiriki lakini tunaambiwa ni pesa ya IPTL!
1. Wizara ya fedha na uchumi - waziri kahusika na katibu wa wizara pesa itoke.
a. Benki kuu - Gavana wa Benki Kuu kahusika kufanikisha pesa itoke
2. Wizara ya nishati na madini - Waziri na Katibu Mkuu...
Kumbe mnasema mtetezi na mdau mkubwa wa Elimu ya kusoma na kuandika katika bunge la Tanzania!
Jamani ukiona Mbwa yupo juu ya Mti usishagae ila jiulize aliyempandisha ana maana gani?
Kwahio ukiona mbunge mbomu wa hovyo! Ujue watu wake wa hovyo kweli kweli! Yaani hawana elimu,kuanzia asubuhi ni...
Huyu Muraa! Kampiga kidsm kama yule mrisha anayayevihamasisha vitoto vya wazee kile Chama Cha Mahakamani! Eti walidai tumepga tumepga! Kesho yake kale kalisha tunakaona mara mawingu sijui nyota kanabwabwaja hata mkorogo wake hauja guswa!
Nisiseme mengi ila huyo msagane angejuta kuzaliwa! Yeye...
Jamani pamoja na serikali kukumbwa na huu ukata! Jamani Hospitalini hapafai hasa hz za mikoa! Mshikaji wangu mke wake alijfungua kwa njia ya operation! Baada ya kujifungua aliambiwa anunue dawa zifuatazo W.R/L Q3 P7500,W. DNS Q3 P7500,W.Cethiaxine lg i/v Q3 P9000,W.Metrinidozole Q3 P7500,Tabs...
Kweli hii Bongo! Waziri wa Mambo ya Nje anajibu kimipasho! Yaani CNN,BCC na Aljeezira wanaweza leta habari za kidaku au zinaweza jibiwa kirahisi hvyo! Badala ya kutumia vyombo hvyo hvyo kukanusha,yeye analeta mipasho! Eti waziri wa mambo ya nje! Eti nae anautaka uraisi! Poor Tanzania! Nyalandu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.