Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!
hivi yale maandamano ya waislamu kuhusu NECTA yameishia wapi? Nasikia viongozi wao wamevuta mlungula wameamua kukaa kimya
MkimbizwaMbio
Post #609
Jun 15, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Laptops and Mobile phones for sale
Haupo Serious. SONY VIAO Model Ipi?????
MkimbizwaMbio
Post #287
Jun 14, 2012
Forum:
Matangazo madogo
Hivi ni kwa nini watu hawaipendi TRA?
Wanasumbua walipa kodi badala ya kuwapa moyo wa kulipa kodi. Mfano ukitaka TIN Number inabidi uwanyentyekee badala ya wao kukunyenyekea wewe.
MkimbizwaMbio
Post #8
Jun 14, 2012
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Hivi ni kwa nini watu hawaipendi TRA?
Mishahara ya Watumishi wao haifuati scale za Serikali kama ofisi zingine za Serikali.
MkimbizwaMbio
Post #7
Jun 14, 2012
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Hivi ni kwa nini watu hawaipendi TRA?
Hawatendi haki. Hawakusanyi kodi kwa matajiri, kazi yao ni kufyonza maskini.
MkimbizwaMbio
Post #6
Jun 14, 2012
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Live updates: Taifa Stars Vs Gambia
hii tv ya ccm vipi ?? Mbona wanapiga story tu? Tbc1 safari bado ndefu
MkimbizwaMbio
Post #25
Jun 10, 2012
Forum:
Jamii Sports
Mkutano wa CCM Jangwani: Nape anawatukana UAMSHO na kuwaita Wezi wakubwa na Majambazi...
tena wauaji wakubwa amesahau kusema hilo
MkimbizwaMbio
Post #134
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Mkutano wa CCM Jangwani: Nape anawatukana UAMSHO na kuwaita Wezi wakubwa na Majambazi...
hajakosea ingawa na yeye ni gamba.
MkimbizwaMbio
Post #129
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
sasa umeandika au umeharisha? Mbona hueleweki?
MkimbizwaMbio
Post #727
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
mkuu wa it baraza la mitihani asimamishwa kazi.
Kuropoka ruksa mdomo ni wako
MkimbizwaMbio
Post #32
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Aibu tupu
MkimbizwaMbio
Post #94
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Hutokuja kushuhudia kusombwa kwa watu mikutano ya chadema. Hiyo ni mbinu ya ccm pekee. Usipotoshe watu hapa
MkimbizwaMbio
Post #88
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Kuna wakina mama wamejaa hapa ccm sinza wanakunywa chai na vitumbua waje hapa
MkimbizwaMbio
Post #86
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Matumaini yatakuwa makubwa sana. Si unaona vichwa vilivyopo? Sasa wasira, lusinde, nape ataisadia nini nchi hii???
MkimbizwaMbio
Post #83
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Kweli ccm inawadharau wajinga wake. Wanafanywa kama mizigo . Wanashushwa kama magunia ya vitunguu jangwani.
MkimbizwaMbio
Post #80
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Unawasifia wezi wa mali yako mwenyewe? Kweli kuna wajinga wengi nchi hiii
MkimbizwaMbio
Post #78
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
Updates zipi mkuu kutoka ccm? Hakuna jipya, tangu uhuru wapo madarakani na nchi yaelekea kuzimu. Tazama hata wewe unakula mlo mmoja.
MkimbizwaMbio
Post #75
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mkutano wa CCM Viwanja vya Jangwani (Dar) Juni 9,2012
nasikia wale walioandamana jana wamehamasishwa wote waende leo jangwani. Ila wasivae vipedo kwani watepewa mavazi na ccm
MkimbizwaMbio
Post #64
Jun 9, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
mkuu wa it baraza la mitihani asimamishwa kazi.
Safi sana na tuweke muislam mwenzetu
MkimbizwaMbio
Post #16
Jun 8, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Madai ya Waislam juu ya NECTA ni mazito
Kweli wewe ni kilaza wa kutupa
MkimbizwaMbio
Post #80
Jun 8, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back