Kwa uzoefu nilionao siku hizi kuna mafao ya aina tatu kwa wale wanaokoma ajira kwa kuachishwa au kustaafu kama ifuatavyo:-
1: Kustaafu kwa lazima ni miaka 60.
Kwa yule ambae amechangia miezi 180 na kuendelea mfuko wa NSSF atalipwa pensheni mkupuo na kila mwezi.
Kwa yule ambae amechangia chini...
Nikiwa Tanga mwaka jana nilisikia kuhusu kinywaji kiitwacho Al-Kasusu. Nilinunua na kunywa kinywaji hicho na kukuta ni kweli kinachangamsha. Nilijaribu kuulizia kinavyotengezwa nikaambiwa na wale wanouza kuwa wananunua unga wake (Al-kasusu) ambao wanapika na maziwa na kuunga kwa asali...
Ni siku nyingi zimepita Mh. Salim Ahmed Salim ambae amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kubwa hapa Tanzania (ikiwamo Waziri Mkuu wa tano) na Afrika hajasikika.
Mwenye taarifa zake atujuze tufahamu kuhusu kiongozi wetu
Nilienda Mombasa wakati wa Pasaka. Eneo la Bamburi Bia Za KBL ni Ksh 180 hadi 200 Sawa na Tsh 3960 - 4400: Mbuzi Choma au kukaanga kilo Ksh 700 same na kuku broiler Sawa na Tshs 15400. Matatu trip 50 Bob sawa na aTsh 1100/=. Wenzetu wana hali mbaya.
Nakumbuka tulikuwa na TAMOFA (Tz and Mzbq Friendship Association) ilikuwa na ofisi zake pale Mtaa wa Nkrumah (opposite Immigration Club na CoCabs kwa siku hizo). Sijui yenyewe ipo au imeishia wapi. Mwenye taarifa atujuze. Kama sikosei Kuna wakati Mh. Mkuchika alikuwa mmoja wa viongozi wake, nae...
Bima ya mikopo katika mabenki ni kwa ajili ya kifo au ulemavu wa kudumu na wenye kumpotezea uwepo wa kujiletea kipato mkopaji sio kuachishwa au kuacha kazi.
Congo si ndio wanaongoza duniani kwa kuwa na dude? Kwa hiyo sio dawa wadada wa huko wanapata kitu roho inapenda mpaka inakuwa full kuachia. Wewe na bamia lako under 5 inch akugande nani?
Ukiachilia mbali kutoza hela nyingi pia gharama za gesti zipo juu kwa joto la Dar atataka yenye A/c. Na bado mwanamke anataka anywe Heinken au Windhoek sio chini ya tano; nyama choma au kuku wa kienyeji n.k. Mwisho wa siku wakuta zaidi ya laki moja imeisha kwa mgegedo mmoja ambao si ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.