Sio poa kumwombea mwenzako kifo jamani...Jaribu kuwaza imekuwaje hadi wamefikia hali hiyo, what if hali iyo imewakumba kwa ajili ya positions walizonazo?? Get well soon Manumba and Dr Hosea
Kwa mila/taratibu za kiafrika mwanamke ndo anaanza kutambulishwa nyumbani kwa mwanaume (ingawa hii mara nyingi inafanyika kwa siri bila kuwashirikisha wazazi wa mwanamke). Hayo mengine yaliyobaki inategemeana na kabila/mila au utaratibu wa familia ya mwanamke...kwa urahisi unaweza ukaongea na...
Eti "perfume sio nzuri coz yai la uzazi la mwanamke hupendelea harufu mbaya namazingira machafu ndio maana wanawake wachafu ni rahisi kwa wao kupata mimba nyingi tofauti na wale wasafi sana" hahaha!! Umesema huyo ni mwalimu wa biology au mganga wa kienyeji??
Nakushauri tu usilogwe ukamuoa huyu binti...atakuua kwa pressure!! Yaani binti akishajua huzungushi kwake mbona utakoma!! Na infact unaonekana bado hujakomaa ktk mapenzi ya hii dunia, tuliza ball achana na mambo ya kupanga muda wa kuoa (sijui miaka miwili) when the right time and the right...
Vikwazo yuko sahihi kabisa, Mhe. Lema hapaswi kulipwa fedha ambazo si stahili yake kwa sasa. Mfano mtumishi hawezi kudai hela ya posho (per diem) for instance pale anaporejeshwa kazini eti kwa kuwa tu ilikuwa imepangwa aende safari ya kikazi kabla hajasimamishwa!! Lema akipokea fedha hizo naye...
Hahahaha!! Kumbe wanaume wenye wivu bado mpo? Kama kutowasiliana nae kwa siku moja tu ushaingiwa na wasiwasi kuwa unaibiwa ina maana humwamini huyo mpz wako...remember that love is trust!!
1. Go On Girl-NeYo
2. Heartless-Kanye West
3. Thank You-Estelle
4. I learn from the best-Whitney
5. Goodbye My Lover-James Blunt
6. Wild World-Maxi Priest
7. The loneliness-Babyface
8. What If-Babyface
9. Till You Do me Right-After 7
Mimi ata umuhimu wa hiyo wizara ya Vijana, Utamaduni na Michezo siuoni...Vazi la taifa sio kitu cha kutafuta ni you either have it or you don't, period!!
Mi nadhani hapa mtoa hoja angeweka na mifano kadhaa ili kuprove point yake....mi naamini huwezi kulinganisha mshahara wa mwanasheria/wakili wa IMMMA Advocates na wa ule wa mwanasheria/wakili wa serikalini.
Kwa ujumla, nyanda za juu kusini zina potentials zifuatazo, ambazo ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.
1) Kilimo (Mazao ya Biashara)
-Chai (Njombe, Mufindi, Rungwe)
-Kahawa (Rungwe, Mbinga, Mbozi
-Pamba (Chunya)
-Kakao (Kyela)
-Tumbaku (Chunya, Kilolo, Sumbawanga)
-Pareto (Mufindi...
Hapa ndipo Lowassa anaponishangaza siku zote...watu wanadai hawampendi but they are still talking about him more than they talk about other politicians!!I think he's the next presidential candidate kwa upande wa CCM...
Ngoja tusubiri utekelezaji...ila viongozi wale wale siku zote hutoa maamuzi yale yale kwa matatizo yale yale ambayo yanatengenezwa na watu wale wale!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.