Tushirikishane nyimbo za majibizano kati ya mwanaume Na mwanamke
Mfano:
Barnaba song Meseji
Foby Song Kitanda
Kidumu song Nitafanya
Tushirikishe unazozifahamu
COVID-19 Nikirusi kinachotishia uhai Na uchumi Wa dunia kwa sasa.
Tanzania nchi Yangu tunao uwezo Wa kufadhili chaguzi kitaifa kuwachagua viongozi Wa kisiasa
USHAURI WANGU,
Kwanini Nguvu Na pesa hizo tunazotumia kwenye mambo kama ya uchaguzi kitaifa zisitumike kuamu KILA MWANANCHI APIMWE KAMA...
Staki kuandika maneno mengi, ila nashangaa!!!! ina maana police hawajui kuwa Dawasco huwa wanapakaa ofisi zao hii Rangi? Tunashindwa kutofautisha Polisi na dawasco. Nashauri Polisi wapakae vituo vyao kwa Chini Rangi ya dark blue, kutofautisha na dawasco ambao kwa Chini wanapakaa light blue...
Tabia ya kusimamishwa na traffic kuombwa Leseni halafu ndo anakukagua, akikuta kosa na hana Mashine ya kukuandikia fine, traffic anachukua namba za Leseni na Gari, kisha anakuruhusu ondoke bila kukujulisha kama atakwenda kukuandikia halafu baadae anakwenda kukuandikia kosa bila ya Wewe kujua...
Wakuu wa technologia naomba msaada wenu, Naomba atakaye niwezesha kupata apk ya hizi paid apps kwenye google play store
Betting tips HT-FT VIP
SUPERTIPSMAN SPECIAL VIP
EXPERT BETTING TIPS PREMIUM
Naomba kuwasilisha.
Wazee wa mautundu kazi kwenu nisaidieni kuzipata hizo apk
Hivi umesimamishwa na traffic, akakuomba akukague, ukaridhia bila shida. Akakagua vibali vyote viko sawa,Akakuomba Leseni ya udereva ukampa, akauliza reflect ukampa, fire extinguisher ukampa, ila katika kukagua fire extinguisher akasoma akakuta imesha expire, ukamuomba samahani sikujua kama...
Habari za muda huu wana jf.Nina Swali naomba kujibiwa.Hivi INAWEZEKANA nchi yetu hii Tanzania Magari yote yakawa mapya nchi nzima?Niulize kwa nini nimeuliza hili swali!
Nimeuliza hili Swali kwa kuwa kuna maafisa wetu wa barabarani wanakamata Magari kwa kosa Dogo tu na kutoza fine bila ya...
Habari za muda huu wana jf.Nina Swali naomba kujibiwa.
Hivi INAWEZEKANA nchi yetu hii Tanzania Magari yote yakawa mapya?
Niulize kwa nini nimeuliza hili Swali?
Nimeuliza hili Swali kwa kuwa kuna maafisa wetu wa barabarani wanakamata Magari kwa kosa Dogo tu na kutoza fine bila ya huruma.
Kwa...
Habari za leo wana jamvi, jamani nina tatizo naombeni msaada wenu. Nina external storage ya WD, ambayo haisomi tena nikiconnect kwenye computer, kuna data zangu zimo humo ndani, nisaidieni kama naweza kuitengeneza ikatumika tena au kama haiwezi kutengenezeka, data zangu kuna namna yoyote ya...
jamiiforums.com - Earn from Your Home & Office, Earning website for Students, Job-less people
Bonyeza hiyo link hapo juu, ujishindie point,
Watumie watu kupitia Whatsapp, twitter,Google na mitandao yote ya kijamii kukusanya points, kadiri uwatumiavyo watu wengi ndivyo unavyo jiongezea points...
Natafuta rafiki wa kike, mpole, mkweli, mwaminifu, sichagui dini, kabila, wala elimu yake, kama upo tayari ni pm ili tuweze kuwasiliana na kufahamiana zaidi. KARIBU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.