I think we poor becouse
we dont have vision (our leaders)
we dont know how to set our priorities I men we dont know what should be done first what shuold follow
Ufisadi
No commitment
Wana JF
Kwa muda mrefu tumekuwa na maadui watatu yaani Ujinga, maradhi na umasikini na tumekuwa tukipambanao mimi kwa mtazamo wangu ni kuwa ameongezeka adui mwingine ambaye CCM nasema hivyo kwa sababu CCM haijui kwanini Tanzania ni masikini na kama hujui tatizo hilo la umaskini si rahisi kuwa...
Hivi kweli kumbe kuna watu wenye mawazo kama haya. mwalimu nyerere alisema watu waliofilisika kiakili wanajielelekeza kwenye udini wakishwindwa kwenye ukabila hawa si wajinga ni wapumbavu kabisa.
Alishaji jibu hili nataka wanikumbuke kuwa niliwakuta hapa na kuwapeleka pale---hata ukirudishwa nyuma kimaendeleo usishangae lengo alikuta hapa akupeleke pale
Nashukuru nimesoma nakala ya hukumu ya mahakama ya kimataifa kuhusu suala la DOWANS vs TANESCO.
Hadi sasa nipo katika kipengere cha 337 lakini nimeshangazwa namna nchi yetu ilivyoharibika halafu kwa ujasiri wa ajabu Rais Kikwete anasema hawajui wamiliki wa Dowans.
Kuna mambo wakati mwingine...
Hapo kwenye red si kweli mnyika hajashauri mitambo ya mafisadi inunuliwe ila hilo zao la mafisadi (J.makamba) ndiye aliyeshauri mnyika ameseme hatuwezi kukaa gizani na mitambo ya wahujumu uchumi iko pale itaifishwe na iwashwe. mnachokosea WJF ni kuwa majaa yamejipanga kujisafisha na yameweka...
Mimi nilkuwa hapo kombania D kuna mtu alikuwa anaitwa afande Mazani huyu bwana kwa toos alikuwa nia hatari nadhani historia yake unakumbuka ilikuwa inavuma kambi nzima.
Alafu nakumbuka tulikuwa tuaamka usiku kula kiporo cha wali maarufu kama "Kijogoo" pila jeshini tuliwaza hata kula mayai...
Alikuwa anachangia hutuba ya Rias akamnukuu mwanasiasa wa marekani aliyeingia Bungeni kwa mara kwanza kuwa mwaka wa kwanza na wapili hakuzungumza alipoulizwa kulikoni akajibu alikuwa anajifunza mwaka wa kwanza alikuwa anashangaa amefikakafikaje mjengoni, mwaka wa pili alikuwa anashanga baadhi ya...
Wana JF nimeshangazwa sana na kauli za Januari Makamba wakati akichangia Hotuba ya Rais. Jamaa baada ya kubebwa na kupewa ubunge na mafisadi anajiona kuwa uwezo wake ni mkubwa wa uelewa wa mambo kiasi cha kuwashangaa wengine eti wamefikaje humu bungeni.
Nilivyo muelewa mimi ni kuwa kwa kuwa...
Uwongo mwingine ni pale aliposema kuwa ccm wako 16 chadema 14 kwa mazingira hayo lazima ccm wangeshinda inawezekana kabisa kwa madiwani wa ccm kpigia cdm
hili gazeti linaendeshwa kibiashara na Mbowe sio mmiliki peke yake ila anahisa na wamemkabizi jamaa aliendeshe kibiashara sasa naona jamaa keshavuta za mafisadi na mshikaji wake zito anataka kuliharibu gazeti na akorofishane na wamiliki ili ahame kampuni au anzishe lakwake akiwa ameliuwa TZ...
Ni Rais mwenye upendo kwa Watanzania kwa kuwa anajua jinsi CCM ilivyooza bila kuondoka madarakani nchi haiwezi kupata maendeleo na katumia akili sana kukiuwa chama cha CCM bila watu kujua strategy zake kama ifuatayo;
kuwakumbatia mafisadi ili kuamsha hasira ya Watanzania ili kuichukia CCM moja...
hoja hapa mkuu ni kwamba wametafsiri kanuni kwamba kambi rasmi bungeni ni wapinzani wote hivyo kuwazesha wapinzani kugombea uenyekiti wa kamati muhimu tatu zinazotakiwa kuongozwa na upinzania bila kupitia kwa kiongozi rasmi wa upinzani bungeni. Kwa kuwa CUF,NCCR,UDP na TLP ni vibara wa CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.