Kaa chini mtafute njia m-badala ,pia kuondoa fikra kuwa kila kitu unaweza kukigeuza fedha, ukianza na wewe mtoa hoja anza kuonesha mabadiliko na uhamasishaji juu ya hilo, utunzaji wa vyanzo vya maji na mazingira kwa ujumla.
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, nina hitaji ushauri kuusu tatizo ili ,mi kijana wa kiume ,umri wa aka 27 ,ni hivi huwa ninapokuwa nikifanya tendo la ndoa na wife,nakuwa najikuta ninawahi kufika kileleni haraka kuliko mwenzangu ,kitendo ambacho kinanisababishia mtafaruku ktk mahusiano yangu na...
Ninahitaji ushauri wenu wa haraka wadau wa jukwaa hili ,nina msichana ambaye nilianzanae mahusiano kama wapenzi
mwenzi mmoja ivi uliopita ,ananipenda nami pia nimempenda ,lakini katika muda huo tulokuwa pamoja hatujawahi kujihusisha na kufanya mapenzi , kumejitokeza tatizo ambalo ninashindwa...
Umesahau 1,wasichana wasasa wanasubiri
Wanatafuta wazee ,kwa udi na uvumba ,eti kuwa wazee lazima wanahela za mafao,na kuwakimbia vijana ,kwa sasa hii ndio ndoto yao kubwa.
Hodi kwa wanJF wote tz, mmmm ni matumaini yangu kwamba tutakua pamoja ktk hili jukwaa la JF,maomba ushirikiano wenu na idhini yenu kuutambua uwepo wangu hapa,ahsante
Usijiaribie utu wako ,hiyo ni kitu ambacho utakijutia utakapo kifanya,ridhika na gf wako 1,anakutosha,mwambie live kuwa haumtaki ,heshima idumu. Kuwa mwanaume.
Usipime democrasia kwa ncha ya kidole kaka,kama wanavyodai watu waliosoma tanzania nzima 25% ,we kubali kuwa ni rahisi kuwatala wajinga ,kwani wengi wa watanzania bado wapo usingizini ,iko siku utajua kuwa tanzania hakuna hiyo demo.crasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.