Ninahitaji msaada wa haraka juu hili wanajukwaa !!!

Ulimate4

Member
Nov 5, 2010
37
1
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, nina hitaji ushauri kuusu tatizo ili ,mi kijana wa kiume ,umri wa aka 27 ,ni hivi huwa ninapokuwa nikifanya tendo la ndoa na wife,nakuwa najikuta ninawahi kufika kileleni haraka kuliko mwenzangu ,kitendo ambacho kinanisababishia mtafaruku ktk mahusiano yangu na mwenzangu,
Ninaomba kujua je, hili ni tatizo kwangu me?na kama ni
Tatizo linaweza kupatikana tiba yake.!! Ahsante
 
hilo tatizo lina tiba na lishawahi kuzungumziwa sana hapa jamvini,kuna thread ipo na solution ya hii mambo
 
hilo tatizo lina tiba na lishawahi kuzungumziwa sana hapa jamvini,kuna thread ipo na solution ya hii mambo
Salam,
Ndugu yangu kama alivyochangia mdau mwenzetu hapo juu, mimi ningependa kuchangia kwa kifupi ili kukidhi haja kama ulivyohitaji binafisi. Tatizo lipo mara nyingi ni psychological, hivyo hujijenga akilini na kuwa ni tabia, unaweza polepole kujipa zoezi la kujizuia na kuamua wakati gani ufike kileleni, ni tabu kidogo lakini inawezekana. Pia unaweza kupunguza kabla kitendo au unaweka mechi kipindi cha kwanza chako na kurejea zowezi mara ya pili, kikawaida speed huwa imepungua unachukua mda mrefu hivyo itakuwa ni mda muwafaka kumtosheleza mwenzio, aidha utumie mpira wa kiume na ukishindwa hayo yote kuna spray au jelly maalum unazojipaka zenye dawa ya kupunguza hisia na mwamsho siwezi kuzitaja hapa mana zinahitaji ufafanuzi kabla hujaanza kutumia kinyume chake zinaweza kuleta madhara. Unaweza kuzipata kwenye maduka ya madawa (pharmacy) Natumai unaweza kufaidika.
 
Mkuu@Ulimate4 Dawa ya kutibu kufika Kelelni mapema. Namna kujitibu maradhi ya kuwahi kushusha manii haraka wakati la tendo la ndoa na bila kujitibu wanaathirika wote khususan mwanamke.Madawa yake ni:

1.Tangawizi.
2.Uwatu.
3.Asali.
4.Mdalasini.

Chukua unga wa tangawizi kiasi cha vijiko vitatu vya chakula kisha changanya na dawa iitwayo uwatu unga wake kiasi cha vijiko vitatu vya chakula, na hakikisha madawa haya ni ya unga yaani yatwange hadi yawe unga kisha chemsha kwa

maji glasi tatu baada ya kuchemsha hakikisha glasi moja inapotea kwa kuchemsha, halafu mgonjwa wa tatizo hilo atakuwa akijipaka kwenye dhakari yake na kwenye korodani kila siku mara moja na wakati anatumia dawa hiyo

itamlazimika atumie asali kijiko kimoja cha chakula na mdalasini kijiko kimoja cha chai kila usiku anakula dawa hiyo mara moja kwa siku muda wa siku kumi natano au ishirini Inshaallah atapona. Ukimaliza kutumia kisha , please give me a feedback. Ukitata Dawa ya Nguvu za kiume bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anaye-taka.html
 
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, nina hitaji ushauri kuusu tatizo ili ,mi kijana wa kiume ,umri wa aka 27 ,ni hivi huwa ninapokuwa nikifanya tendo la ndoa na wife,nakuwa najikuta ninawahi kufika kileleni haraka kuliko mwenzangu ,kitendo ambacho kinanisababishia mtafaruku ktk mahusiano yangu na mwenzangu,
Ninaomba kujua je, hili ni tatizo kwangu me?na kama ni
Tatizo linaweza kupatikana tiba yake.!! Ahsante
Unaweza pia kutumia njia ya kubana au kukaza tundu ya ****** kwa nguvu sana ukisikia zinakuja na zikisharudi unaendelea na zoezi,baada ya kufanya hivyo kwa muda wa mwezi au miezi miwili utaona unaanza kuchelewa.
 
Back
Top Bottom