Ndg tunaweza kulima mazao 2 papai au tangawizi ndio mazao yasiyo na pressure lakini soko ni kubwa. Usiogope tunaweza weka makubaliano sawa tukafanyakazi pamoja
Kuna uwezekano wa kugawana kwa usawa maana biashara ya jumla itakuwa mifugo au mazao tu. Lengo nataka kupata operation fund baada ya kufanya na wadau kwa muda flani
Nilifunguliwa mashitaka ya kinidhamu mwaka mmoja baada ya kosa yaani makosa October 2010, tuhuma November 2011
Nikajibu tuhuma ndani ya muda.
Tume iliundwa miaka 5 baadae ndio nikafukuzwa kazi. Yaani April 2016 nikaomba kurudishwa kazini ndio tume ikaundwa julai 2016 nikafukuzwa.
Naishi...
Habari wadau,
Ninashamba la ukubwa wa ekari 10 lenye rutuba nzuri na yakutosha linalofaa kwa mazao kama nyanya, vitunguu, mahindi, matikiti, mapapai, machungwa na migomba. Shamba lipo kilosa morogoro. Shamba liko 5km kutoka barabara ya kilosa dumila ambayo inalami na shambani panafikika mwaka...
Hii haiingii akilini aisee,Ina maana nchini kwenu mtu anaweza akaingia akajifanya Ni ombaomba kumbe Ni shushushu flani tu, katumwa na nchi yake Kisha akimaliza anasepa zake kiurahirahisi tu[emoji849]ajabu hiii!!
Gari yangu aina ya Nissan pickup ina jam sana breki za mbele naomba msaada. Nimepiga msasa piston lakini bado zinajam
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua TZ dalali ni mwizi anataka kula hela kubwa kuliko. Kitu nauza 1M dalali atataka laki lakini yeye anaanza kukiuza tena kwa 2.5M hivyo anachukua 1.6M huu ni wizi. Nadhani itungwe sheria ambapo dalali awe link kati ya muuzaji na mnunuzi na baada ya biashara alipwe kamisheni kama madalali wa DSE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.