Zama hizi ukijifanya mbishi eti hutaki kwenda na hali halisi inavyotaka lazima wende na maji.
Kuna kampuni nyingine kubwa na ya muda mrefu ya HOOD hii nayo magari yake tia maji tia maji sana , hii nayo inakoelekea sio kuzuri kabisa
Polisi kama polisi wanatumwa tu ni sawa na kumuona mbwa juu ya mti lazima awe amepandishwa,
Shida ni kwamba sijui huwa wanaamrishwa kufanya hivyo maana inavyoonyesha hata akili zao hawazitumii
Upuuzi mtupu, eti kugharamia mazishi wao ndio wanaona faraja kwa wafiwa. Hivi ni wapi duniani mtu amefariki ikashindikana kuzikwa kwa sababu ya gharama?
Mifumo ya mafuta ya hizi gari ni tofauti. Pia suzuki carry ziko tofauti, hata zenyewe pia matumizi ya mafuta ni tofauti pia. Labda ungeainisha ni carry ya mfumo upi
Yaleyale ya hosteli ya udsm, utaambiwa mchochezi, ulitakiwa kupeleka taarifa kwa wahusika na si mtandaoni. Yaani hao wahusika hawaoni kabisaa, utadhani wao wanaishi Timor ya mashariki vile.
Inaonyesha ni uvivu tu wa kufikiri au wa uelewa wako, unaposema uifanyie ni nchi maana yake ni kwamba hicho unachofanya lazima kikaguse maisha ya watu. Nchi ni watu.
Pia jukumu la serikali yoyote ni kutoa huduma muhimu na kuweka mazingira mazuri kwa wananchi wake ili hayo unayosema maendeleo...
Aliyewadanganya ccm kwamba chadema ikifa na ndio upinzani umekufa amewapatia sana, kuua upinzani kwa kuua vyama ni kujidanganya,
Badala ya kuwafanyia wananchi mambo mema kwa kuwapa huduma bora za kijamii ili automaticaly upinzani ukose hoja yanatumika mamilioni kunua viongozi wa upinzani, hii...
Kitu fedha achana nayo kabisa, Ukizingatia na ubinafsi ulio ktk mioyo ya binadamu ndio kabisaa.
Fedha inanunua kila kitu inatofautiana tu na kiwango na mtu na mtu au kitu na kitu, shabaha kuu ya mtu yeyote ni kupata fedha.
Hata hao wanaonunua watu nia yao ni kupata fedha, hii mbinu mbaya sana...
Mkuu hapa tatizo wala si afya ya akili, fikiria mbunge pamoja na maslahi yote anayopata anaammu kuacha nafasi yake bila kujali gharama, muda na pengine hata maumivu kwa baadhi ya watu eti kwa kumuunga mkono raisi.
Maamuzi haya hata asiye na akili kabisa hawezi kuwa nayo. Hapa kuna namna...
Hawa watu wawili si watu wa kuwachekea kama ni china siku nyingi wangekua wamekufa kifo cha kishujaa cha kitanzi,
L/QUOTE]
Kwa kauli yako hii inaonyesha unajua ni nani mwenye mamlaka ya kuwadhibiti hao watu, jiulize kwa nini hakuna kinachofanyika dhidi yao, Wahusika hawana ufahamu kama wako au...
Kama serikali iliruhusu watu wakapate kikombe kwa babu wa loriondo bila utafiti wowote kwenye dawa iliyotumika sembuse hizi zilizokuja kwa meli?
Wenyewe wanaona wamefanya jambo la maana sana kube wanaudhihirishia umma kwamba huduma za afya nchini si nzuri kutokana na umati wa watu watakoa...
Uko sahihi mkuu, kwani tumeona hata katika kile kipindi cha babu wa loriondo jinsi watu walivyojitokeza kwa wingi kwenda kupata tiba.
Watu walitolewa mpaka mahospitalini wakapelekwa kwa babu. Nchi yetu huduma za jamii ni bora huduma tu lakini si huduma bora.
Viongozi kwa kutokujielewa wanaona...
Mkuu hakuna kitu rahisi kama kujenga nyumba kuliko hata kununua gari hata ya milioni 3 tu. inatakiwa tu uwe na nia ya dhati na kipato endelevu hata kama si kikubwa sana.
Nyumba inajengwa kidogokidogo, tofauti na gari, labda ulipate kwa mkopo, kuna watu wamejenga wakati hawajawahi kumiliki hata...
Swadakta. Kuna watu wanaishi peke yao. Yaani mtu yuko yeye na tumbo lake tu lakini maisha yanamuonea balaa.
Na kuna wengine wanaishi na familia kubwa na pia majukumu mengine makubwa tu, lakini maisha ni mazuri tu
Hili la upungufu wa maji hata kama lipo lakini si kwa kiasi kikubwa, kwani hata kipindi maji yapo mengi tu lakini tatizo bado lipo.
Tatizo mamlaka imeamua kufanya biashara na si kutoa huduma, maji ya kuwauzia wenye magari wanayo lakini ya kusambaza kwa wananchi hawana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.