Search results

  1. kijanamakini

    Unafahamu ya kwamba hadi sasa WhatsApp haitengenezi mapato yeyote?

    Hapana, si kweli. Kwa sasa ndio wanaangalia angalia njia za kupata mapato, wanataka kuanzisha WhatsApp kwa makampuni na mashirika. Kwa sasa wamekuwa wanatumia pesa za Facebook.
  2. kijanamakini

    Unafahamu ya kwamba hadi sasa WhatsApp haitengenezi mapato yeyote?

    Ni kweli kabisa, kuna malengo ya kutoa huduma za kibiashara kwa makampuni kupitia app ya WhatsApp...ila kwa sasa hivi hakuna mapato yanayotengenezwa na watu kutumia app ya WhatsApp. Soma uchambuzi mzima kuhusu hili kupitia Teknokona - WhatsApp haina chanzo cha kuingiza Pesa mpaka sasa #Uchambuzi
  3. kijanamakini

    Natafuta nyumba ya kupanga, Maeneo - Kijitonyama, Kurasini, Mbezi Beach, Tankibovu, Mikocheni,

    Natafuta nyumba ya kupanga, Maeneo - Kijitonyama, Kurasini, Mbezi Beach, Tankibovu, Mikocheni, na Msasani Sifa, Chumba - 1 au 2, Sebule, Parking Bajeti - Laki 2 hadi 2.5.
  4. kijanamakini

    Mdahalo wa Mengi na Manji wa leo ni saa ngapi?

    Bit.ly/mdahalomanji tazama live popote ulipo kupitia simu yako
  5. kijanamakini

    Miaka 80 ya Yanga Fc : Yusuph Manji Live TBC¹

    Bit.ly/mdahalomanji tazama live popote ulipo kupitia simu yako
  6. kijanamakini

    Mdahalo wa Mengi na Manji wa leo ni saa ngapi?

    Bit.ly/mdahalomanji tazama live kupitia simu yako
  7. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Sure, S. korea ni moja wapo...nimeitaja kwa sababu tulikuwa tunazungumzia Samsung http://www.forbes.com/pictures/fhmf45fdef/the-fastest-web-on-earth/
  8. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Sidhani kama umesoma hizo top trusted sources... Suala la Samsung na teknolojia ya 5G LIPO MUDA MREFU TUU... KAma utaki kukubali inshalah... role yangu kuinform,ukichagua IGNORANCE ata baada ya kupewa facts hiyo ni juu yako tuu. 👍🏿
  9. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Mkwawa huyu hayupo sahihi ila ameng'ang'ania coz ataki kukubali kutokujua kitu. Samsung n zaidi ya watengenezaji simu, wanakitengo cha R&D...teknolojia ya 5G tayari wanayo, ikiwa rasmi wataiuza na hapo ndipo mitandao ya simu inanunua na kuitumia. Mitandao ya simu yetu hii haifanyi lolote katika...
  10. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Hautaweza kupata huduma, na Smile kabla ya kukuuzia laini huwa wanasaidia kufahama kama kifaa chako, mara nyingi ni tablets, zinakubali teknolojia yao
  11. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    SIJUI KILA KITU BUT PIA HUWA SITOI FACT BILA RESEARCH.... I hope now umejua kipya pia, ya kwamba Samsung ni zaidi ya kutengeneza na kuuza simu na tv..
  12. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Soma hapa pia http://www.zdnet.com/article/samsung-boasts-7-5gbps-mobile-speed-record-in-5g-trial/ i hope hii topic ipo closed now..
  13. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Sikutaka mabishano, tunaongelea 5G TECHNOLOGY... Soma zaidi hapa kuhusu technology ya 5G na role ambayo Samsung wanaplay... http://www.pcworld.com/article/2834072/samsung-claims-data-speed-test-30-times-faster-than-lte.html note: 30 times faster than LTE....
  14. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    Kaka kuuza simu ni moja ya department kubwa ya Samsung. Makampuni yote makubwa yanafanya Research n development ktk teknolojia. Na hili ni la kweli. Korea Kusini, makao makuu ya Samsung ni moja ya nchi yenye kasi kubwa kabisa ya internet...
  15. kijanamakini

    Vanessa Mdee vs Jokate Mwegelo

    😃 duuuuuuh
  16. kijanamakini

    Fahamu Tofauti Kuu Kati ya Teknolojia za 2G, 3G, 4G n.k

    1G ni simu za kizazi cha kwanza kabisa katika teknolojia ya mawasiliano katika mfumo wa bila waya (wireless). Wakati huu ndio simu za mkononi (zikiwa kubwa kwelikweli enzi hizo) zilianza kutengenezwa na kununuliwa. Hii ilikuwa katika miaka ya 1980, na moja ya simu maarufu enzi hizo kuanza ni...
  17. kijanamakini

    Nauza Samsung Galaxy Tab 27 inatumia laini zote

    Ina camera. Angalia picha inayoonesha nyuma inaonekana.
  18. kijanamakini

    Nauza Samsung Galaxy Tab 27 inatumia laini zote

    Bei ni tsh 390,000/=
Back
Top Bottom