Je X-mass ni sherehe za kuzaliwa yesu kristo ? Nielewavyo gregorian calenda ilianza pale yesu alipozaliwa yaani tareh 01-januari - 01. Sasa ninapoambiwa tunasherehekea kuzaliwa yesu tar 25 -Dec, inachanganya kidogo.[au tarehe kamili ya kuzaliwa yesu haifahamiki ?] Wapendwa naomba msaada hapo na...
mandela yupo juu bwana alikuwa sio mtu wa visasi, kama jk
. uliza wenzake waliopigania uhuru na jk aliishia wapi eg kina kambona kina bibi titi na wengineo wengi.
mandela aliwasamehe woote hata waliomfunga jela,
Wewe mtuma hii post u mshenzi, huo msikiti mdio msikiti wangu, mbona hizo harakati sijaziona au wewe ulitaka uone watu wakiswali na kuondoka bila ya vikao vya utendaji ? Kama unaona huelewi hama eneo hilo ,,,.......:..........................*¥
SAMUEL SITA AMEJIANDAA KUGOMBEA URAIS WA TZ, SASA NYIE MWASEMA AGOMBEE URAIS WA TANGANYIKA ? mNATAKA KUMPUNGUZIA ULAJI MZEE ??????// TANGANYIKA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ?...........................................HOOOOOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE, na UHURU................? KAZI YA TANU . TUNATAKA...
:A S 103::argue:ACHENI KUJIFANYA HAMJUI KINACHOENDELEA, PENGO KASHASEMA ANAWAFAHAMU WALIPUAJI KWA MUJIBU WA TAARIFA ALIZOPEWA NA WATU WAKE WA ITELEGENSIA. HIVYO SUBIRINI IPO SIKU ATAWATAJA HADHARANI,:whoo:
ACHENI uchochezi, mwawezaliingiza taifa ktk janga kubwa, Waislam hawana shida na wakristo. acheni uchunguzi ukamilike ndo muongee. kwani yaweza bainika kuwa wakristo haohao ndo wahusika. uchunguzi wa awali umeonyesha muhusika ni mkiristo AMBROSE. NA ukifuatilia maelezo yote toka mwanzo unaona...
Na bado wanazidi kuipanda mbegu chafu kwa kuwakamata hawa raia wa SAUDIA yote hii nikutaka kunasibisha tukio hili na waislam. kwanini wasikamate wamarekani/israel nk
ACHA UCHONGANISHI WEWE , nani kakwambia ilunga amesema wauliwe viongozi wa kidini wa tz. Ilunga alilenga yaliyotokea kule kenya baada ya muaji ya sheikh ROGO na alitoa maelekezo kwa mujibu wa quran
:attention::bange:AWAMU HII YA NNE WAMEJITAHIDI KWA MENGI NAORODHESHA TU BAADHI
1,JK ameweka mtandao wa barabara kwa nchi nzima
2.kajenga chuo kikuu cha dodoma
3 shule za sekondari ni nyingi mno kila kata
4ujenzi wa barabara za mabasi yaendayo kasi
5.ujenzi wa daraja la kigamboni unaendelea...
:yo:tunapata mashaka kwa ni polisi wanasema kibonzo hicho walikichora kwa msaada wa watu waliokuwepo ktk tukio; lakini wakati ule ameuliwa walisema hapakuwa na watu' pia kama kuna watu ambao walikuwepo kulikuwa na haja gani kuagiza fbi ? pia wametangaza haraka haraka baada ya kiongozi mmoja wa...
:rockon::rockon:HIYO NDIYO JEURI YA MFUMO KIRISTO BWANA, MIMI NILIFIKIRI MTAIAMBIA SERIKALI ISITISHE MIHELA MNAYOCHOTEWA KUPITIA ;MOU; ACHA JEURI MFUMO KIRISTO UPO NA TUTAMBAMBANA NAO HADI KIELEWEKE. KUHUSU UCHINJAJI MBONA MIAKA YOTE HAMJALISEMA HILO NA NI KIFUNGU GANI KTK BIBI LIA KINAAMRISHA...
:msela:umejuaje kuwa hajatekwa ? siku zote serikali haiwezi kukiri kuwa wamemteka. hata dr ulimboka alipotekwa serikali ilikana kumteka japo yeye anasema ni serikali imemteka.
MALALAMIKO YA WAISLAM:- 1. Ofisi ya waziri mkuu imetoa kalenda zinazoonyesha wakiristo wapo wengi zaidi ya waislam. 2. Bodi ya utalii ktk tovuti yao wanasema tz ni nchi yenye wakiristo wengi zaidi ya waislam 3. TBC 1-siku ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru walikuwa wakitoa takwimu za idad ya wa tz...
Kuna uwezekano mkubwa sensa huenda ikaahirishwa ili kujiandaa upya Kuweka kipengele cha ''DINI" KTk dodoso ili hatimaye tujuwe dini ipi yenye wafuasi wengi waislam/wakiristo. Waislam wameshaweka wazi kuwa hawatoshiriki sensa kufuatia serikali kupika takwimu za waislam huku wakijua hamna sensa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.