Kuna uwezekano mkubwa sensa huenda ikaahirishwa ili kujiandaa upya Kuweka kipengele cha ''DINI" KTk dodoso ili hatimaye tujuwe dini ipi yenye wafuasi wengi waislam/wakiristo. Waislam wameshaweka wazi kuwa hawatoshiriki sensa kufuatia serikali kupika takwimu za waislam huku wakijua hamna sensa iliyowahi kuuliza dini.