Ngoja nimtolee povu kidogo mbunge wangu bwege
binafsi siungi mkono hoja kuwa mbunge makini ni yule anaelialia kuulizia maendeleo ya jimbo lake wakati kila bunge la bajiti linapitisha pesa za maendeleo kwa kila jimbo
Ndio maana huoni mawaziri wakitetea jimbo lakini maendeleo kwao...
Tena nimekumbuka Maalim keshakichimbia kaburi CUF kwa kauli yake ya kuwapa matumaini wazanzibar kuwa KWA KUWA ALISHINDA 2015 basi muda si mrefu ataapishwa. Kama hatoapishwa hadi 2020, na ilivyo hatoapiswa....... manake wazanzibar watakuwa weshakatishwa tamaa na kupiga kura wengi watasusa...
KAMA TUNAVYOJUA CUF YENYE NGUVU NI YA MAALIM.
HATA LIPUMBA AFANYE NINI HAWEZI KUPUNGUZA NGUVU YA CUF ZANZIBAR.
LIPUMBA ANAATHIRI NGUVU YA UPINZANI BARA
KAMA KWELI WAPINZANI WANA NIA YA KUIONDOA CCM MADARAKANI 2020 MUHIMU NI
1. WAACHANE NA CUF NA LIPUMBA WAKE.
2. WAPINZANI WAANZISHE...
SERIKALI INAKATAZA NDOA KWA WANAFUNZI WAKATI WANAFUNZI WAKIENDELEA ZA ZINAA NI SAWA NA KUSEMA SERIKALI INAPIGANA NA HAKI TU NA KURUHUSU UCHAFU UENEE
NANI VITA KATI YA HAKI NA BATILI.
KUKAA KIMYA KWA SERIKALI KWENYE ZINAA NI SAWA NA SERIKALI INARUHUSU ZINAA NA KUKATAZA NDOA.
KWENYE RIPOTI...
Ilishazoeleka kwa Tanzania likitokea tendo la kugaidi basi waliofanya uovu huo ni waislam
Ndio maana hadi leo jamii ya kiislam inanyanyasika kwa kufunguliwa kesi za kigaidi ambazo hazina ushahidi. MF kule Arusha kulitokea shambulizi la kigaidi ktk mkutano ambapo kiongizi wa Vatican alikuwepo...
Naona kama muhongo na mipango ndio waliochangia sana hapo juu Kwa kutumia ID fake.
Mtakumbuka mawaziri Hawa miezi mitatu iliyopita waliupotosha umma kuwa dangote anataka gesi ya bure toka tanesco, n kuwa dangote anaagiza makaa ya mawe nje ya nchi wakati hapa kwetu yapo mazuri na Kwa gharama...
Kugushi ni ugonjwa wa kuambukiza.
Utashangaa wanasema watumishi wanapochaguliwa wanaangia elimu yao, lkn kwa miaka zaidi ya 30 tz ilikuwa ni nchi iliyo 3 bora kwa umasikini. Sasa utajiuliza kama sio walioajiriwa ni feki kwann nchi haikuweza kupiga hatua
Ndugu ktk Bwana.
Napenda nikupe dondoo ya jinsi ya kuondoka na tatizo hili ingawa naweza kutofautiana na wengine.
Umesema tatizo unalo kwa wiki mbili sasa.
Tatizo ulilinalo laweza kuwa linatokana na mfumo wa uvutaji hewa sio Nzuri au una ugonjwa wa wasiwasi. Ni kawaida Ubongo ukikosa oxygen...
Pamoja na maelezo yako marefu lkn tume ya mwakyembe kaikuwa na ushahidi bali walikuwa na mashaka juu ya taratibu zilizotumika. Na kama ushahidi ungekuwapo lowasa angekuwa wa kwanza kushitaji mahakama ya mafisadi. Kashfa ni kashfa na makonda karusha jiwe, mbowe hakupaswa kuguna. Mwenyekiti wetu...
Mbowe anasema na ninanukuu
“Tuache habari ya kuitwa, wewe umepata tuhuma, hujafanya uchunguzi, hakuna mtu aliye juu ya sheria, lakini unatakiwa kufanya uchunguzi ili ukimkamata mtu unamshtaki, siyo unataja mtu unachafua hadhi yake. Halafu ukija kusema hatuna ushahidi juu yako umeshaharibu jina...
Je wajua kuwa kuna mashirika/makampuni tanzu ya Serikali ambayo ni kama yamesahauliwa?
Basi tuwakumbushe Serikali pamoja na wawakilishi wetu ili kama yatakumbukwa naamini yaweza kuleta tija.
Nianze na haya mawili
Hotel Embasssy kwasasa inakaliwa na homeless
RTC ni regional trading...
Siwezi kuunga mkono hoja inayotokana na mnafik KHALIFA KHAMIS hata kama yupo sahihi. KHALIFA ana alama zote zinazofaa yeye kuitwa mnafik. Khalifa anatafuta Kiki kw kuchukua Akili wa waislam ambao si wanaccm. msishangae Khalifa huyo huyo kesho akaja kuyakanusha yote aliyoyatamka kwa kuwa haya...
Ni magonjwa mawili tofauti lkn yana dalili zinazofanana.
Lkn pia tukumbuke si wote wanaopata shida ya maumivu wakati wa haja ndogo ni tezi dume. Maumivu wakati wa kutoa haja ndogo pia yaweza ikawa ni UTI.
Wako watu wanaokunywa dawa kwa ajili ya UTI na wasipone wakadhani wanatezi dume. Laa...
Ukidhani unachofikiri uko peke ako Sahau. Mi nilitaka kuintroduce trackr sticker ambayo kuna manajamii kaitaja. Ndio mambo ya fursa
Nina supply Trackr Bravo, Trackr stickers etc. Ukishanunua kwa 50,000 hakuna malipo ya ziada. Unaweza kuunganisha kwenye school bag ya mwanao ukajua wapi alipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.