Je wajua kuwa kuna mashirika/makampuni tanzu ya Serikali ambayo ni kama yamesahauliwa?
Basi tuwakumbushe Serikali pamoja na wawakilishi wetu ili kama yatakumbukwa naamini yaweza kuleta tija.
Nianze na haya mawili
Hotel Embasssy kwasasa inakaliwa na homeless
RTC ni regional trading coorporation. Hii ni shirika bado lipo lina wafanyakazi wanatumalizia kodi zetu kwa makusanyo wanayoyapata toka kwa rasilimali majengo waliyonayo
Tuyajadili haya na mengine ili Serikali ya wawamu ya 5 ichukue hatua.
Basi tuwakumbushe Serikali pamoja na wawakilishi wetu ili kama yatakumbukwa naamini yaweza kuleta tija.
Nianze na haya mawili
Hotel Embasssy kwasasa inakaliwa na homeless
RTC ni regional trading coorporation. Hii ni shirika bado lipo lina wafanyakazi wanatumalizia kodi zetu kwa makusanyo wanayoyapata toka kwa rasilimali majengo waliyonayo
Tuyajadili haya na mengine ili Serikali ya wawamu ya 5 ichukue hatua.