Search results

  1. L

    Joseph Sinde Warioba: Jiwe walilokikataa waashi

    Kulikuwa na ulazima gani wa kuunda tume kama tayari mlikuwa na majibu? Mliounda tume kwa minajili ya kutafuta jukwaa la kutukana wazee? Hivi ofisi ya waziri mkuu na ofisi ya makamu Rais walitoa maoni ya dhati au ya kisanii? Je maoni yalitolewa kama chambo cha kutafutia sababu ya kumtukana...
  2. L

    Tumevurugwa: Tunahitaji muafaka wa kitaifa!

    UTANGULIZI Wahemga walinena, Mficha maradhi kifo humuumbua…Kuendelea Kujaza Maji kwenye ndoo iliyotoboka huku ukifahamua kuwa hayatajaa ni ujinga. Mungu ametupa akili na ufahamu, na hii ndiyo tofauti ya msingi kati ya sisi binadamu na viumbe hai vingine, kama wanyama na miti. Binadamu...
  3. L

    Viongozi wetu ni sehemu ya mfumo halifu!

    Na.Robert Victor Lengeju Mambo hayaendi, matariri wanafurahi, masikini wanateseka. Wenye haki wanafungwa wahalifu wanasherekea mwaka mpya wa mafanikio.Wale tuliowapa silaha za kutulinda wamegeuka na kutumia silaha zetu kutudhuru sisi wenyewe. Hakuna wa kumkemea mwezie kwasababu kila mmoja...
  4. L

    UDINI, UKABILA, UKANDA Propaganda chafu, hulka za kibinafsi na Uhalifu dhidi ya Demokrasia

    Na. Robert Victor Lengeju Morogoro. Ni masuala mtambuka kwa ubaya wake na ambayo yasipokemewa kwa uzito unaofaa, yanaweza kutumika kama mtaji wa watu hasa kila unapokaribia uchaguzi, huku ukiipasua Nchi yetu vipande vipande. Ni makala yenye kutoa elimu, lakini iliobeba karipio la dhahiri, kwa...
  5. L

    MWALE WA DEMOKRASIA/ The Flame of Democracy!

    The Flame of Democracy MWALE WA DEMOKRASIA: Ndani ya Raia Tanzania Na. Robert Victor Lengeju Mwale wa Demokrasia ni Jukwaa Maalumu katika Gazeti la Raia Tanzania (Gazeti dada la Raia Mwema), linazoletwa kwenu na Mchambuzi na Rafiki yako, Rai wa Tanzania, Robert Victor Lengeju.Jina la jukwaa...
  6. L

    Hatua saba muhimu za uponyaji wa CHADEMA!

    Na. Robert Victor Lengeju. DONDOO 1. Busara ya Ukimya: kufikiri kabla ya kusema na kuchagua cha kusema 2. Toba, Msamaha, Upatanisho na Maridhiano 3. Kamati ya wazee wenye hekima, wasio na upande wala ushabiki na upande 4. Wasivuliwe uwanachama, lakini wasijereshwe kwenye...
  7. L

    Dr. EDMUND SENGONDO MVUNGI: Baba, Mwalimu, Mtetezi!

    Mwanamageuzi wa kweli, Mwanaharakati mahiri Mwanazuoni uliyebobea! Umekufa kazini, Ukisimamia mabadiliko yakini. Umeondoka wakati ambapo mchango wako bado unahitajika sana. Binafsi siko tayari kukubali kwamba umetutoka. Najua kifo ni mepenzi ya Mola Lakini kwa wewe wamekuwahisha sana...
  8. L

    Do we have maternal protection laws in tanzania? Do we need one?

    I am doing my Bachelor of Law Research and my Title is "ACCESSIBILITY OF HEALTH SERVICES IN TANZANIA: ENFORCEABILITY OF FREE AND QUALITY MATERNAL HEALTH CAR. A CASE OF MVOMERO DISTRICT MOROGORO, TANZANIA. I am currently making an account of the available laws. Would any one plz assist me, of...
  9. L

    CHADEMA mmelewa sifa, Mnapoteza uhalali wa kukabidhiwa dola!

    Na. Robert Victor Lengeju Naandika Makala haya nikiwa na maumivu makubwa moyoni. Kwamba yumkini tumaini langu, na la watanzania wengine la kuiona nchi Tanzania ikikomaa kidemokrasia na kuingia karne ya mabadiliko linayeyuka kwa mara nyingine tena. Tumaini limefifia, hakuna tena tegemeo. Kwa...
  10. L

    Watunga Sera Waongo na waovu!

    Wanakitukuza kiswahili majukwaani, Wanakipigia chapuo vikaoni, Wakitumia siasani, kura wanapata, Watatunga sera na Kanuni, Kiswahili Lugha ya Taifa. Wanalazimisha mfumo, kifundiswe toka chekecheani, Nachingwea, Biharamlo, Nyandira, Ngarenanyiki, Malangali, shule za kata zote Kiswahili...
  11. L

    DC IGUNGA KAJIDHALILISHA MWENYEWE: Mwisho wa ubaya ni Aibu!

    Wamejisahau sana hawa... Bado wanaishi katika ulimwengu wa chama kushika hatamu...wanalewa divai ya ukada mpaka kwenye nyumba za ibada!.. Wanasahau kuwa ulevi nooma!! Haya tuliyajua muda mrefu, tulikuwa tunakosa ushahidi tu... sasa yamejidhihirisha mchana kweupe, kulikuwa hakuna namna...
  12. L

    Scramble for and Partition of Africa: With New Zeal, New Strength and New Speed!

    Uvamizi wa mataifa ya Ulaya na Marekan unaoendelea dhidi ya Mtaifa huru ya Africa. Walipokuja na ajenda ya kutufundisha “utu”. Wakaja na divai ya ‘ustaarabu’ ndani ya kiriba cha utumwa/ukoloni. Na sasa wanakuja na divai ya “Demokrasia” ndani ya kiriba cha uvamizi. Bila aibu na mchana kweupe...
  13. L

    Hongera jk lakini..........?..soma hii!

    Suala la Luhanjo kutofautiana kimaamuzi na Boss wake Ikumbukwe pia Ofisi ya Luhanjo ipo IKULU, si ajabu hata makazi ni hapohapo! SIDE A. 1. Kama Luhanjo alifanya maamuzi bila kumjulisha Boss wake, hiyo inaitwa "Working around" na ni Dharau ya hali ya juu 2. Kama Luhanjo alikubaliana vingine...
  14. L

    Wabunge wetu na vipaumbele holela!

    Mwanzo tuliskia “Bila miundombinu uchumi hauwezi kukua!” hilo likaambatana na “Hakuna Taifa bila Elimu.. Kisha tukaambiwa “Kilimo Kwanza! Punde tu wakasema “Umeme ni Janga la Taifa, tuache yote tupate umeme! Hakujakucha, hili nalo likavuma “Serikali isipodhibiti suala la mafuta mfumko wa...
  15. L

    Wabunge wetu na vipaumbele holele!

    Mwanzo tuliskia “Bila miundo mbinu uchumi hauwezi kukua!” Hilo likaambatana na “Hakuna naifa bila Elimu.. Kisha tukaambiwa “Kilimo kwanza! Punde tu wakasema “Umeme ni Janga la Taifa, tuache yote tupate umeme! Hakujakucha hili likavuma “Serikali isipodhibiti suala la mafuta mfumko wa bei...
  16. L

    Mkulima wa Tanzania, August 2011

    Aliandaa shamba kwa panga, fyekeo na jembe la mkono, akapanda bila mbolea kwakuwa viongozi wa serikali ya kijiji na mawakala wa pembejeo walichakachua mbolea ya ruzuku. Mvua haikunyesha pamoja na maombi ya mkesha msikitini na makanisani, mazao kidogo yaliyochomoza yalishambuliwa na...
  17. L

    Edward Ngoyai LOWASA: An administrative gape well felt!.........Comming soon!

    on the final make up of the subjected article; Intending to showcase administrative decisive gape which posses an obvious output of Mheshimiwa Lowassa. Mnyonge mnyongeni..........Comming soon!<br>
  18. L

    EDWARD NGOYAI LIWASA: An administrative gapoe well felt!.........Comming soon!

    on the final make up of the subjected article; Intending to showcase administrative decisive gape which posses an obvious output of Mheshimiwa Lowassa. Mnyonge mnyongeni..........Comming soon!
  19. L

    Tundu Lissu: Mpambanaji aliyeuanza uanaharakati utotoni

    Nimetafuta sana 'Title' inayofaa,yenye uzito unaomstahili Ndugu Tundu Lisu (hapendi kuitwa mheshimiwa).Ashukuriwe Mungu wa Majeshi kwa kupatia zawadi hii. Kinana amejipa moyo, kwamba pamoja na Tsunami ya mabadiliko ktk uchaguzi huu, bado CCM inaamini itabakiwa na asilimia zaidi 70 ya wabunge...
  20. L

    Elections 2010 Namhurumia Kikwete, shughuli pevu kwa spika ajaye, waziri mkuu afunge mikanda!

    Hawa jamaa walikuwa watano tu, vipi vywa bunge viliwaka moto! mwelekeo wa sasa waonyesha upo uwezekano wakafika 100 (including viti maalum) Lakini hebu pata picha hawa jamaa wakiwa 50 tu, pale Bungeni, halafu itolewe hoja dhidi ya ufisadi na List ya walioomba kuchangia ni hii hapa 1.Zitto...
Back
Top Bottom