ni upuuz kushangilia ushnd wa 108.94% ukishnda kwa halali na sisi tunakupa hongera kiroho safi bt co kimizengwe kama ivi!!!! mwalimu wa shule ya msing na mshahara wako wa laki mbili unachekelea ushnd wa hivi afu bada ya uchaguzi ugome et mshahara mdogo!! kijana ucie na ajira stay calm uspanic...
acha akili mgando ww!!! nyie vdada mnajlengesha balaa hasa mkiishiwa boom!! sa unataka jamaa wafanyaje,,, tukiwaacha utackia yule n mtu wa obama nn mbna hatugongi!!!!!! huenda hata ww n mmoja wapo!!!fyuuuuyuu
duuuuuh we n nomaaa yan kukaa nae miaka minne huku ukijua anakucheat na bdo unashiriki nae tendo la ndoa!!! nngekua mm cku hiyo hiyo nimeprove kua anacheat nngetimua
Guyz mi sio mwandishi mzuri wa story na ni mara ya kwanza hii ni stori ya rafiki yangu!!! yote haya yametokea!! kuna kipindi jamaaa aliamua kupiga chin kabisa kuhus huyu dem akamwambia asimtafte tena bt dem akanywa sumu na mother wa dem akampigia jamaa sim akimwomba asiache kuwasiliana na...
Habari vipi wana JF,
Kwa mara ya kwanza nimekuja kwenu naombeni ushauri.
Nilkua na mpenzi wangu ambae tulipendana sana yani ninaposema tulipendana tulipendana kweli mara nyingi tulikua pamoja wala hakukuonyesha dalili zozote za yeye au mimi kuchepuka.
Lakini kuna kipindi alisafiri...
Go to hell mwanamke ka ww!! tafuta mwanamke mwenzio akuoe,, yan mdgu zang wakae mbali na mali zangu it means hata mama angu aliyentunza tumbon miez9,akanizaa,akanilea mpaka nimekua na kujitegemea,,,, kirah rahis tu et ooooh wakae mbali na mali zetu!!! fyuuuuuuuuh.
unaweza kusema amecopy bt isiwe kwel coz hat the way umehusianisha hzo lyrcs umeungaunga saaana!! fid q z a best rapper joh na itabak kua hvo mbna we cjackia hata uliocopy
lawama isiwe kwa madirector tu hata kwa wasanii wenyewe coz msanii almost ndo anaamua vdeo iwaje!!! take example mwana ya k4real je tunaweza kumlaum godfather? hebu abgalien nasema nawe ya mondi imeshootiwa na hanscana y hajacopy idea za wengne!!! sometym n tatzo la wasanii wenyew bt kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.