Kuna mwaka nilienda hapo kwa majirani zetu Zambia aisee wao umeme inaoneka cheap sana..Maana familia nyingi nilizo bahatika kutembelea wanatumia sana vifaa vya umeme..majiko ,mashine za kufulia na wana vifaa vingi mno vya kutumia umeme majumbani na wakati mwingine hata taa kuzima wanaona tabu...
Dar ilianza muda huo na mpaka sasa inanyesha ila haikuwa kubwa na bado sio kubwa,kumbe tunapata mabaki ya kutoka Visiwani.Ingekuwa kwa ukubwa huo nina hakika mafuriko yangekuwa makubwa zaidi ya juzi.
Kwani hili neno huwezi litumia kama ombi mbele zake na akasamehe.? Ni kweli ni agano la ulimwengu wote ila issue ni nani atakae kumbuka kukumbusha juu ya agano lake(na sio mafuriko yote yaliyofunika visiwa na miji mingi yalikuwa ni ya adhabu mengine ni man made na mengine hawakupatika watu...
Naanza kumuelewa mwalimu mmoja alienda kutembelea makumbusho ya yale mauaji ya 1994. Alisema Wahutu hawafurahishwi kwa maana hata miili mingi iliwekwa ni ya watutsi..
Akasema wale jamaa ni suala la muda tu wanaweza jikuta wanarudi kwenye mgogoro tena..
Ni wakati wa serikari kulitazama hili kwa...
https://youtu.be/3N2zkWPTrFI?feature=shared
Hii case kuna haja ya kutazama mambo kwa upana sana na tusiruhusi hisia pekee kuamua.Kuna mengi nyuma ya pazia yanaendelea
https://youtu.be/3N2zkWPTrFI?feature=shared
Hii case kuna haja ya kutazama mambo kwa upana sana na tusiruhusi hisia pekee kuamua.Kuna mengi nyuma ya pazia yanaendelea.
Kwa maelezo yake yanauzwa almost yote mengine anajiuzia mwenynyewe kwenye miradi mingine ya mbwa..Ng'ombe inakamuliwa mara tatu sio mchezo kwa huku nilipo bei ya lita ni 2000×60=120000 kwa siku kwa ng'ombe mmoja kwa mwezi unaongelea Tsh 3,600,000/= kwa mwaka unaongelea Tsh 43,200,000/= endapo...
Ni wakati sahihi kwa Mkuu Max kujitokeza na kusema jambo au aweke mikakati mipya juu ya utumiaji wa huu .
Afanye ajambo ambalo litawafanya watu walio ndani ya Mtandao wake kupata kuwa na amani na siri zao...
Siku si nyingi hoja ngumu na zenye kuweka mambo wazi yaliyofichika ndani ya jamii na...
Kwa sasa mfumo wa soko ulivyo unaweza mkwepa vizuri tu kwa sababu kila anachozalisha kinaushindani sokoni kasoro bidhaa zao za media ..Ila za matumizi nyumbani nikuhakikishie kuna sehemu hata Dar bidhaa zake madukani hawajaweka.
Duh aisee hii ni hatari mno..Miaka 11 anapitia wakati mzito kama huu..kwa hakika uzalendo wa kweli ndani ya mioyo mingi ya watanzania umepoa sana.Mioyo imejaa visasi na uharibifu juu ya watawala.
Asaiv wamerudisha natumaini umepata.
Ila hakuna siku wamepata hasara(TANESCO) na wamesababisha hasara kubwa mno kwa wananchi(hadi huruma) kama leo..
Kuna haja kubwa mnoTANESCO wanatakiwa wajitafakari sana sana kwa upya .Hii hali ya leo kwa hakika imenitisha na imenihuzunisha kwa upana sana...
Hii itakuwa suluhisho mno.Maana maauzi mengi ya kimahakama juu ya ardhi bado husubilia tena maamuzi ya baraza sehemu ambayo janja janja zimekuwa kubwa mno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.