Search results

  1. M

    Live Updates: Morocco Vs Tanzania leo, 8 June 2013 uwanja wa Stade de Marrakech

    tbc wanaonyesha live mechi kati ya morocco vs tanzania
  2. M

    Live Updates: Morocco Vs Tanzania leo, 8 June 2013 uwanja wa Stade de Marrakech

    tbc wanaonyesha mechi morroco vs tz, live sasa
  3. M

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    JK kuhutubia hivi punde Toka ikulu kupitia tbc source;TBC
  4. M

    nahitaji used laptop

    nahitaji used laptop hdd-250gb, na iwe kati ya dell, toshiba, compaq, acer budget==tsh-500,000. wasiliana nami kwa 0654441434, sante
  5. M

    Microscope for hospital labs.

    weka contacts zako tuwasiliane ninahitaji
  6. M

    Inahitajika landdcruiser prado

    Nahitaji land cruiser prado sx,zx,au lx na iwe kwenye hali nzuri, iwe haijawahi kupata madhara wala haijawahi kupigwa rangi. Kwa kifupi iwe sawa na imetoka japan. Ya mwaka isiwe chini ya mwaka 1995 . Budget ni milioni kumi na nne (14,000,000), priority zaidi kama itakuwa arusha au...
  7. M

    Toyota vx for sale ,na zx

    weka bei halali watu tununue magari
  8. M

    Toyota vx for sale ,na zx

    ka bein halali watu tujimwage sio bei kubwa hivo
  9. M

    magari yanauzwa

    mkuu tunaomba details za kila gari ili tuweze kujionea na kufanya uamuzii please, hasa ccc, km, ya mwaka gani na imeingia lini nchini thanks
  10. M

    Madaktari Waliogoma Kukutana Leo Jumamosi- Tafsiri Yangu

    madocta wana madi makuu matatu ukinymbulisha unapata kama nane, 1.kuwajibishwa kwa viongozi walisababisha sekta ya afya kudorora<wizara ya afya 2.maboresho huduma ya afya nchini kwa kuhakisha madawa, machine za kuwapima waginjwa vikuwepo na vinafanya kazi mda wote, na vitendea kazi vingine vyote...
  11. M

    Madaktari hawaokoi maisha bali wanatibia tu

    unahitaji msaada wa daktari kwa hali yako hiyo maana una matatizo, japo unawakandia njoo tukupe tiba sahihi
  12. M

    Condom no more huhu hu

    weeeeeeeeeeeee wacha kabisa. mimi ni Dr naomba niwasaidie kudogo kwenye hili ukweli ni kwamba kama una HIV na ukawekwa kwenye dozi ya ARV hizi dawa zinawaua wale virusi kwahiyo kwa mda fulani wanakuwa wamepungua sana kwenye mzunguko wa damu hivyo uwezo wa kuambikiza unapungua. kwa hiyo...
  13. M

    Madaktari kuongezewa posho, kupatiwa nyumba na green card

    green card inayosemwa ni card ya BIMA ya AFYA ya NHIF ambayo unakuwezesha kutibiwa hospitai yoyote nchi hii iwe ya serikali au private bila kujali ggarama zao na unaweza kufanyiwa kipimo chochote na pia unaweza kupata dawa yoyote inayohitajika kutibiwa tatizo lako bila kujali gharama...
  14. M

    Mgomo wamadaktari: Pm na double standard?

    PM hajawasimamisha bali walisha simamishwa na rais but yeye kaleta tangazo kwamba wamesha simamishwa kazi na sio kwamba kawafukuza yeye.
  15. M

    Muhimbili hakujatulia, graduation yavurugika!

    WAKATI wabunge wakijipandishia posho za vikao mpaka 200,000/- Watanzania(wadanganyika) waendelea kupokea malipo ya kutofanya uchaguzi makini, pale wanapoenda hospitali kwa matumaini ya ya kutibiwa na kukuta wimbo wa hakuna dawa, oxygeni imeisha, hamna dawa ya kuosha vidonda, hamna dawa ya...
  16. M

    Kwanini nishani watunukiwe Ikulu badala ya uwanjani mbele ya watanzania?

    MIMI Rais kanishangaza na kuniacha na maswali magumu 1.kutoa hotuba ambayo kaoengelea lami tu kama ndo issue kubwa lenye hadhi ya kuongelea katika kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru??? 2.ktunuku wastaafu nishani ya heshima ya mwal. Nyerere ktika viwanja vya ikulu mbele ya wateule wachache...
  17. M

    Lowassa, Malecela na Sitta kunyimwa nishani maana yake nini?

    MIMI Rais kanishangaza na kuniacha na maswali magumu 1.kutoa hotuba ambayo kaoengelea lami tu kama ndo issue kubwa lenye hadhi ya kuongelea katika miaka hamsini??? 2.ktunuku wastaafu nishani ya heshima ya mwal. Nyerere ktika viwanja vya ikulu mbele ya wateule wachache? badala ya mbele ya...
  18. M

    Mlipuko watokea Ubungo-TANESCO, umeme wakatika!

    mie niko kilimanjaro maeneo ya KCMC na mida ya sa kumi na dk 40 hivi gafla nao umeme ukakatika nadhani ni issue hiyo hiyo mlipuko Ubungo ndo sababu, kazi tunayo, Nafikiri Ngeleja aliazimisha tanesco kuzalisha umeme kwa lazima hata kama uwezo wa machines silizopo ni mdogo ili kuplease wabunge...
  19. M

    Sababu za kung'atuka uenyekiti jimbo la ubungo.

    Kaka kazi nzuri umejibu hoja kwa hoja na hili linaonyesha kuwa uko sawa na fit kwa kazi pale ukonga kama ulivyofanya mimi nakuunga mkono. pili unayo haki ya kikatiba hata kama mtanzania kugombea uongozi ndani ya nchi yetu mahali popote. Tatu naona wanaotoa hoja ya kukupinga wanalao ajenda na...
  20. M

    Wabunge CCM wamerogwa?

    Wachawi ni wao wenyewe "they are just malingering nothing else, they are aware of what they proclaim being " UNAFIKI" against themselves. I tell you they are poisonous leaders They will pay the price of their hypocrisy soon ?2015
Back
Top Bottom