Nawasalimuni nyote!!
Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijipigania lau niweze kujilipia hata kozi ya cheti pale chuo cha sanaa Bagamoyo lakini kumbe mipango si matumizi.
Kwa kipato changu nimeshidwa kabisaaa, kujiwekea akiba ili nikajisomeshe, lakini natamani sana na ninapenda sana nikasome ili cku...
Nawasalimuni mabest zangu na mie!!
Nimewamisijeeeee!! Waoooo......
Haya sasa, Leo mimekuja na langu la moyoni,
Nahitaji director/ nahitaji mtu atakae niongoza na kunioshesha njia ya sanaa ya uigizaji kwa ujumla, nimekua muigizaji tangu 1997 mpk Leo, cha ajabu cjawahi kutoka kivyovyote vile...
jamani walevi wakikutana baa hupeana madili ya hela
walokole wakikutana kanisani hupeana habari njema za Mungu!
Na mimi leo niko JF, humu nimegundua kuna watu wenye michongo mikali na mirefu ya fedha!
Nakusubiri inbox unipe dili, yaani namaanisha...
wewe unaedharau, na majibu yako...
Heri ya mwaka mpya wapendwa.
Natoa shukrani zangu kwenu nyote mlionishauri na kunifariji wakati nikiwa nahitaji mtoto, hamkuniacha mpweke mpaka mimba ilipotunga na niliwajulisha, sasa Mungu amenipa mtoto mume, na mzuri kwa kweli. Glory to God.
Leo naombeni mnisaidie kuhusu huyu wifi yangu...
Nawasalimuni nyote...
Niwakati mwingine tena napenda kuwashukuru wana JF wote mlio changia ule uzi wng "Je namna hii naweza kupata mimba?"
kwa kweli nilikua naumia kwakua nilikua natafuta mtoto kwa siku nyingi bila mafanikio.
Baada tu yakuchukua uamuzi kuwashirikisha nilipata faraja kuu...
Heshima natanguliza.
Baada ya kuzunguka katika maduka na supamaket kadhaa, nimepata oda ya kusambaza unga wa lishe.
Tatizo hata sijui vifungashio nitavipata wapi. Tafadhali naombeni msaada wenu.
Nahitaji ile mifuko migumu ya lailoni pamoja na ile mashine ya kufungia vifungashio hivyo...
Leo sijui kwanini nimekumbuka hii stori!!!
Nawasalimuni nyote ndugu zanguni.
Nimiaka mingi kidogo imepita jambo hili lilinikuta.
Nilikua na boyfriend wng, siku zikaenda mpk akaja kuhitambulisha, baada ya muda wakanilipia mahari... Maisha yakawa yanasonga huku vikao vikiwa jikoni.
Nakumbuka...
Nawasalimuni ndugu zangu ktk jina la Bwana...
Story iko hivi,
Nilikua na biashara zangu nami nikaweka vijana 3, lakini kati ya hao watatu wawili niliwaweka katika biashara moja lakini kama ilivyokawaida nikamchagua mmoja ambae anaitwa ibu awe msimamizi wa ile biashara. Nimekaa nae huu...
Nawasalimuni ndugu zangu ktk jina la Bwana...
Story iko hivi,
Nilikua na biashara zangu nami nikaweka vijana 3, lakini kati ya hao watatu wawili niliwaweka katika biashara moja lakini kama ilivyokawaida nikamchagua mmoja ambae anaitwa ibu awe msimamizi wa ile biashara. Nimekaa nae huu ni...
Naikumbuka siku ile nilipoitwa nyuma ya nyumba kule kijijini kwetu. nikaambiwa nitanue miguu then wabibi flan wakanitazama kwa makini sana, ckujua kitu kilikua kinaendelea....
Baada ya cku kadhaa, asbh sn nikaamshwa nikavalishwa kanga moja inatopita shingoni, kwetu inaitwa (maleleta)...
shalom!!
Assalam aleikum!
binafsi nimeshidwa kuelewa mzunguko wa siku zangu, kwa miezi 3 hii naombeni wataalam mnisaidie kwa kua kuuliza si ujinga.
mwezi wa nane niliona cku zangu tar 11-14, sept 14 - 18, Oct 22 - 25, before sikuwa narusha siku zangu namna hii, nilikua na tarehe moja...
DONT STOP DEPENDING ON GOD...
A young man working in the army was constantly humiliated because he believed in God. One day the captain wanted to humiliate him before the troops.He called the young man and said:-
Young man comes here, take the key and go and park the Jeep in front...
Nawapenda wote!!
Ni juzi tu nilialikwa kwenye kitchen party ya jirani yangu Mwanauba, nilijuta kwanini nilikwenda maana nilijikuta nikipoteza raha yangu yote.....
Mama mmoja ambaye alialikwa kumfunda Mwanauba alikuwa akiongea maneno ambayo yalikuwa yakiniuzi kila alipoendelea kuongea...
Nawasalimuni nyote ndugu zangu!!
Niwakati mwingine tena ningependa ku-share na nyie mkasa huu ulionipata!
Nilikua na boyfriend wangu ambaye wakati akiwa chuo mimi nilikua nafanya kazi, tumeishi pamoja sasa yapasa miaka 4 ikiendea na miezi 7, kwa kweli nilimpenda mwenzangu kutoka moyoni, shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.