Kama unataka jini fanya haraka pale kwenye beach ya Aghakan Hospital.Kuanzia saa saba usiku kaa chini ya mti wowote watakuja na utaongea nao.usiogope anaweza kuja kwa umbo lolote kama vile kuku paka mwanamke au mlinzi au mvuvi nk.Utajuta ukifanya kosa.Maeneo ya Lumumba kuna baa moja huwa anakuja...
Huko vyuoni kuna kitu kinaitwa kwa kiingereza "POLITICS"kama wewe ni mwanafunzi wa elimu ya juu utakuwa umeelewa.jiulize mbona wamelipwa na kwa nini hawakulipwa kabla na ni nani aliuewambia wagome
Kama akijaaliwa na Mweyezimungu kupata hiyo nafasi basi asiwarudishe wale wote amabo ni mizigo.Wako vijana wengi wanaweza kazi za uwaziri na wana nidhamu na wako tayari kuelekezwa na wakuu wao.Kwa kifupi apige chini wazee wote na aunde baraza la wazee la kutoa ushahuri liwe kinakutana sambamba...
Kwa hali ya kawaida sisi binadamu huwa tunajisahau kwa kudhani wazee au wagonjwa ndio wanaotangulia mbele ya haki...tunajisahau kwani kutangulia mbele ya haki ni Wajib na ni Amri ya Mwenyezimungu na hakuna atakayekwepa hilo.Vitabu vyote vitakatifu vimeandika hilo.Sitaki kuendelea zaidi kwani...
Itakuwa miujiza Salim Mh.kukubaliwa na CCM.Kwani huyu bwana si alikuwa Mwarabu siku zile za nyuma kulikoni sasa,lakini la pili huyu kwenye ile tume yao si walikubaliana serikali tatu,walitaka maadili ya viongozi,walitaka ukomo wa u bunge,walitaka mbunge asiwe waziri na kadha wa kadha.vyote...
Ipi itakuwa sahihi nikitamka: Wa TZ wanapenda sana lugha ya matusi au: Baadhi ya wa TZ wanapenda kugha ya matusi.Kwa nini nimeweka hizo sentensi:Wabunge tumewachaguwa sisi na ndiyo wanatuwakilisha kauli zao tunaziona pia kuna ule msemo wa samaki mmoja akiozwa.....au ile dhana ya collective...
Tubadilike jamani.....hawa wazee mpaka wafie bungeni..?Kweli wanadhamira ya kuwaendeleza vijana..?wote walio above 60 years wapigwe chini na wanawake above 50yrs.
Na kule Bungeni wapo wenye mitusi na mipasho na wanafurahia saana hiyo tabia.Hebu tuwatambue kwa hizo sifa:Kombo wa ZNZ,Asha Bakari huyu mama anastahili kuingia kwenye world record ya mitusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.