Search results

  1. msafiri.razaro

    Miaka 18 ya upotevu wa maisha ya Yesu Kristo. Je, nini hasa siri yake na wanaficha nini?

    Vyazo ni vingi sana tatizo wengi huzani Spiritual knowledge inachanzo kimoja tuu na ncho kitabu cha dini yake. Kama mkristu anzani ni Biblia au kama Muislam basi ni Koran. Lengo ni kumjua na kumfuata Mungu basi soma vitabu vyote. Soma Biblia, Koran, Hindu Scriptures, Bavgad Gita, Upanishad, The...
  2. msafiri.razaro

    Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

    Hizi hadith za kuona nilizisikia kabla sijapata spiritual initiotion na kuzani kwenye meditation kunakuona kama theator za cinema hivi. Nimefanya meditation Lights and Sound kwa miaka 40 sasa uzoefu umenionyesha kwamba ukiona kitu au kusikia chochote wakati wa meditation unakuwa bado unastragle...
  3. msafiri.razaro

    Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

    Dini imekufunga usidadisi zaidi ya kuamini. Elimu ya kiroho au Spiritual knowledge inapatikana kwa vitendo vya kudadisi na tafakuri. Contemplation and meditation.
  4. msafiri.razaro

    Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

    Elimu hii inapatikana Rohoni tuu. Hata Yesu alisema ilikuupata ufalme wa Minguni yakupasa uzaliwe mara ya pili. Kwa Mwili na kwa Roho. Pia alisema wamwabudio Mungu kiukweli wanapaswa kumwabudu kwa njia ya Roho na Kweli. KWELI ipo itafute nayo itakiweka huru.
  5. msafiri.razaro

    Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

    Kweli is beyond mind and words hata ukiijua huwezi kuielezea. Umejitahidi sana lakini watakao kuelewa ni wale waliofika au wale walionjiani kuelekea kwenye Kweli. Kudo sana
  6. msafiri.razaro

    Miaka 18 ya upotevu wa maisha ya Yesu Kristo. Je, nini hasa siri yake na wanaficha nini?

    Lost years of life of Jesus ilitokea baada ya Baba yake na Mama yake kukumbuka ahadi waliotoa kwa wale Mamajusi waliokoa maisha ya Yesu asiuwawe na Herode. Kumbuka si waisraeli wala wayahudi na hata wazazi wake walitambua mtoto Yesu anauwezo gani Kroho, bali ni wale mamajusi wataalamu wa nyota...
  7. msafiri.razaro

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Usichanganye Uyahudi na Ukikro, Yerusalemu ni mji mtakatifu kwa dini ya Kiyahudi. Yesu licha ya kwamba alizaliwa kwa imani ya Baba na Mama kama myahudi alitengua Uyahudi na Amri kumi. Alifukuzwa kutokufundisha Hekaluni kwani mafundisho yake yalipingana na Uyahudi. Alipokufa wafuasi wake...
  8. msafiri.razaro

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Its purely business on God's name.
  9. msafiri.razaro

    Kumjua Mungu wa Kweli

    Mtoa mada anachanganya kati ya Roho na Moyo. Moyo ni organ ya mwili na Roho ni Uhai. Moyo ni organi ya mwili kazi yake kugawa damu na hewa, wakati Roho ni uwezo wa kuwepo au kuishi. Pili mtoa maada anamueleza Mungu kwa kutumia akili, ambayo haiwezi kumjua Mungu. Kwani akili inatambua kwa...
  10. msafiri.razaro

    Ukweli ni kitu gani?

    Kweli kinyume cha Uwongo. Biblia imesema Mungu ni Kweli na Shetani ni Baba wa Uwongo. Yesu alisema yatupaswa kumuabudu Mungu kwa Njia ya Roho na Kweli. Kuijua kweli lazima tupate picha halisi ya Uwongo kwani kinyume chake cha Uwongo ndio Kweli. Kwa mfano nikikuuliza jee unajua rangi ya Kinyonga...
  11. msafiri.razaro

    NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

    Wakumbuke kuwa Watanzania wengi hawana uwezo wa kulipia vifurushi vya Bima. Ila wengi walijitahidi angalau watoto wao wapate Bima. Wakiunga mkono sera ya Mama mjamzito, mtoto na wazee wapate matibabu angalau bure au kwa bei nafuu. Sasa hii fall out watoto wengi hawatakuwa na Bima. Kama mzani...
  12. msafiri.razaro

    Miaka 18 ya upotevu wa maisha ya Yesu Kristo. Je, nini hasa siri yake na wanaficha nini?

    Kipindi hicho Yesu alikuwa mafunzoni. Unakumbuka wale Mamajusi, waliropoka kwa mfalme Herode kwamba Mfalme amezaliwa. Na ndio hao waliomuonya Yusufu kuwa mtoto yesu hakuwa salama wamtoroshe. Wale mamajusi walikuwa kama kwa nyakati hizi tungewaita ni maprofesa kwani walikuwa wabobezi kwenye elimu...
  13. msafiri.razaro

    The Concept of one God is not universal

    Miungu wako wengi kuna 1. MUNGU BABA 2. MUNGU MAMA na 3.ROHO MTAKATIFU. 4. MUNGU MWANA.
  14. msafiri.razaro

    Biblia kwa Jicho Jingine

    Ukisha sema tuu hapo Mwanzo, teyari unategemea kuwa na Mwisho. Mungu hana mwanzo wala mwisho. Na ndio maana akili inayotambua mambo kwa dimensions za Muda (wakati) na Mahali (nafasi) haiwezi kumjua Mungu. Akili haiwezi kueleza au kuielewa infinity state. Mungu ni ROHO na KWELI alikuwepo, yupo na...
  15. msafiri.razaro

    Dhana ya uwepo wa Mungu na mbingu

    Huko ndio kunaitwa matokeo ya kufikiria ndani ya mipaka ya muda na nafasi. Mungu na Mbingu havifikiriki kwani kila kinachofikirika ni cha uwongo. Mungu na Mbingu hupatikana katika hali ya Kweli (milele) Yatupasa kumuabudu Mungu kwa njia ya ROHO na KWELI kwa sababu Mungu ni Roho. Yohana 4: 23...
  16. msafiri.razaro

    Royal Bloodline. Damu Takatifu

    Mwili wa binadamu unaumbwa kwa chakula, kabla ya kuwa chakula kilikuwa nafaka, mboga, majimaji, hewa na nyama. Kabla ya hapo ni mazao yalimea ardhini na mifugo iliyokula mimea au chakula kilichotokana uoto wa ardhini. In that process una trans form udongo kuwa mwili. Unapoambwiwa umeumbwa kwa...
  17. msafiri.razaro

    Hadithi Ya Wafungwa kwenye Pango (Fumbo la Maisha)

    Ni fumbo la Roho na Mwili. Fumbo linahusu kujitambua au True Self realization. Roho inakuwa mtumwa wa Mwili na Mambo yake ambayo ni ya ki Dunia(Jela). Licha ya kwamba Roho ni ya milele ikiwa Mwilini inapoteza Ukweli kwamba, haifi, haina njaa, haina kiu, haina nyege, ina own kila kitu hivyo sio...
Back
Top Bottom