Samahani, kama haitakuwa shida au usumbufu ninaomba chanzo halisi cha taarifa hii. Hizi habari zimetapakaa sana kwenye mitandao lakini hakuna chanzo sahihi cha habari.
Habari za mida mkuu! Nimejaribu kupiga simu kwa kutumia Skype lakini kwa bahati mbaya mawasiliano hayakuwa mazuri, hatukuweza kusikilizana. Hivyo ninaomba unisaidie confirmation ID ya hizi installation ID 0041925 6691083 1640951 0112914 8289020 2222200 0861501 1696870 7344560. MICROSOFT OFFICE...
Kama ume-activate inakuwa sio rahisi kukufanyia fujo. Mie nime-install Windows 8 Professional Edition x64 (MSDN) pamoja na Microsoft Office Professional Plus 2013 x64 - retail (MSDN). Nimefanikiwa ku-activate Windows 8 pekee. Office bado inanizingua. Activator zilizonyingi ni za VL yaani KMS...
OK! Hatahivyo ni kwamba hawa jamaa wameweka links unapoweza kupata hiyo password ila unakuta nchi yako haina offer.
Links zenyewe ni: Link 1 : FileIce LLC
Link 2 : ShareCash - Password for TALTrDriS 2012.txt
Link 3 : Download...
Tafadhari waungwana naombeni kwa yeyote mwenye password ya SCANIA TRUCK DRIVING SIMULATOR anisaidie!?Nimejaribu ku-google na hizi (AZMFX-32YQK-56TAD-EUA9R-Z31Z0) nilizopata hazikunisaidia. Nimedownload hii game hivi majuzi lakini inakataa kufunguka!
Naomba "Username" na "Serials" ya "Propel Accelerator 6.1.6.1103" au
"propel accelerator 6.3.0.3303"
Ninatumia Dial Up connection na eneo ninaloishi net ni magumashi ila nimepata hii software na inaonekana tatizo langu linaweza kupata ufumbuzi.
Nimejaribu kutumia...
Naomba "Username" na "Serials" ya "Propel Accelerator 6.1.6.1103" au
"propel accelerator 6.3.0.3303"
Ninatumia Dial Up connection na eneo ninaloishi net ni magumashi ila nimepata hii software na inaonekana tatizo langu linaweza kupata ufumbuzi.
Nimejaribu kutumia...
These are all the tricks known so far
~cheers~
You need a PC or a Laptop and the required connectivity tools ,ie.,
Serial/USB cable OR Infrared Device OR Bluetooth dongle
1) Activate Airtel Live! ( It's FREE so no probs)
2) Create TWO Airtel gprs data accounts (yep TWO) and select...
Nashukuru sana waheshimiwa kwa maelezo yenu marefu na yaliyojaa tija. Nimefarijika sana kwa maana nami kwanza nimefanikiwa kuichakachua modem yangu,ila mimi nilitumia DC-UNLOCKER, pili hoja hii ya manual set-up ya internet connections ya mitandao hiyo mingine kama Zain & tiGO imeniwezesha kuamka...
Nimeinunua kama miezi 2 iliyopita, na ndiyo ninayoitumia mpaka sasahivi.
Ila sema tu mtandao ndio unaonibania.
Kuhusu bei yake niliichukua kwa Tsh.55000/=
Poleni na majukumu ya kila leo wanajamii. Ninaomba kufahamu jinsi ya ku-unlock modem hii;
Vodafone Mobile Connect
HSDPA USB Stick
Model; K3565-Z
FCC ID:Q78-K3565-Z
ZTE Corporation
IME:356517039971562
Hii ni kutokana na kwamba mahali ninapoishi hivi sasa mtandao wa voda ni mashati na sina uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.