Pole sana Dr. Slaa kwa kushindwa lakini inakubidi ukubali matokeo na kama umeonewa basi nenda kwenye tume ili uweze kufungua mashtaka.
Licha ya kupigiwa debe na baadhi ya makanisa uchwara yasiyo na tija kwa watz pamoja na asasi zinazojiita za kiraia badala ya kusema ukweli ni za kidini(angalia...
Kuna viongozi wa chama fulani nchini ambacho sera zake zinazofanana na mafreemasons(wale wanaosalimiana kwa ishara ya vidole viwili kama akina Bush,Saddam,Obama,Ahmednijad,Arafat,tonny Blair n.k)kuamua kwa makusudi kumteua mgombea urais ambaye ana wajihi na sifa za kutoka nchi ya Somalia kwenye...
Posted by GLOBAL on October 25, 2010
Na Issa Mnally
Hali ya Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ali Omar Juma ikielezwa inarejea vizuri, kiwewe kinatawala kuhusu anayetajwa kufariki dunia kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, 2010.
Ingawa...
Ya Leo Kali: Kiingereza Ni Lugha Tu, Hata Watoto Wanaongea!
( Mjadala unaposhika kasi, mjumbe hapa chini kaamua kumfungia mtu kazi. Mwenyekiti nasema tuendelee tu!)
Narudia tena bwana Mhango na wenzio wote mliokosa malezi mlikotoka, matusi yenu yote mnayoelekeza kwangu na kwa wengineo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.