M mbea Member Oct 12, 2010 97 1 Oct 12, 2010 #1 Jamani nimeikuta katika library moja kule Qingdao,China.sijuhi kama watu wataweza kuishabikia kwani sidhani kama inavutia,ebu tazama mwenyewe! Attachments MAZIKO.jpg 27.6 KB · Views: 165
Jamani nimeikuta katika library moja kule Qingdao,China.sijuhi kama watu wataweza kuishabikia kwani sidhani kama inavutia,ebu tazama mwenyewe!
Muacici JF-Expert Member Aug 11, 2008 208 11 Oct 12, 2010 #3 mbea said: Jamani nimeikuta katika library moja kule Qingdao,China.sijuhi kama watu wataweza kuishabikia kwani sidhani kama inavutia,ebu tazama mwenyewe! Click to expand... This is just a photo to illustrate defeat
mbea said: Jamani nimeikuta katika library moja kule Qingdao,China.sijuhi kama watu wataweza kuishabikia kwani sidhani kama inavutia,ebu tazama mwenyewe! Click to expand... This is just a photo to illustrate defeat
Henge JF-Expert Member May 14, 2009 6,933 1,510 Oct 13, 2010 #6 Kunta Kinte said: Wewe ndio maana unaitwa mbea! Click to expand... kweli huyo mbea
Mtu wa Pwani JF-Expert Member Dec 26, 2006 4,184 671 Oct 13, 2010 #7 ungesema Liverpool timu ya bwawa la maini ya akina michuzi
G gidytitus JF-Expert Member Oct 4, 2010 332 28 Oct 13, 2010 #9 Tanzania shangilieni kwa kuwa tumempata rais wetu mpya ambaye ni dk slaa!!
Fixed Point JF-Expert Member Sep 30, 2009 11,304 12,744 Oct 13, 2010 #11 Eti mimi nimetafsiri anayeenda kuzikwa ni mpenzi wa Arsenal............. sasa kuna ubaya gani kama wamemtengenezea jeneza la timu aliyokuwa anaipenda?
Eti mimi nimetafsiri anayeenda kuzikwa ni mpenzi wa Arsenal............. sasa kuna ubaya gani kama wamemtengenezea jeneza la timu aliyokuwa anaipenda?