Search results

  1. R

    Prof. Kabudi: Sheria mpya za madini hazitahusu migodi inayoendelea

    Sheria kwa mtanzania masikini inarudi nyuma, lakini kwa mwekezaji wa kithungu sheria hairudi nyuma.
  2. R

    Lowassa na Sumaye mlikuwa wapi wakati mikataba ya madini inapitishwa?

    Mi naona Lowassa na Sumae watatusaidia kutupa picha halisi ya hiyo mikataba ilivyo kuwa na ushauri wa nini kifanyike kwa nyakati hizi.
  3. R

    Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke

    Serikali Imtumie Lisu afanye mikakati ili Tanzania ijitoe MIGA.
  4. R

    NECTA na TIE ni tatizo kwa Elimu yetu

    Safi Mdau, NECTA na TIE fanyieni kazi huo ushauri please.!
  5. R

    Serikali kutoa ajira mpya za watumishi 52,436

    Politics tu hapo
  6. R

    Sheria inasamaje kuhusu kulipwa au kudai fidia?

    Je kuna kikomo?(time limit) ya kudai au kulipwa fidia au inawezekana tu kulipwa au kudaiwa kwa muda wowote? Wadau wa sheria msaada Tafadhali.
  7. R

    Watumishi hewa: Kompyuta yenye rekodi yaibwa, wakopa benki kwa majina hewa

    Pia huko chuoni kuna majipu. Unakuta mwanafuzi analipiwa na bodi ya mikopo anapoacha chuo mkopo wake unaendelea kuja.sasa sijui ni nani anaipokea iyo pesa...??
  8. R

    Yupo Mfanyakazi wa 1391, hamtaki tu kumtaja

    Ataisoma namba
  9. R

    Kutumbua majipu na future ya Tanzania

    Mwarobaini ni upi sasa zaidi ya katiba?
  10. R

    Kutumbua majipu na future ya Tanzania

    Takribani imepita miezi mi nne tangu awamu ya tano kuingia madarakani na mjadala mkuu inayotikisa kwa sasa ni kile kinachoitwa "kutumbua majibu" wananchi wanashangilia na kuchekelea sana utumbuaji huko, hoja ni kwamba kumng'oa mtu na kumuweka mwingine kwenye taasisi ileile yenye udhaifu mkubwa...
  11. R

    Msaada: Anatokwa na ute wa njano sehemu za uume wake

    Anatokwa na ute wenye rangi kama njano hivi kwenye uume na ute huo hauna tofauti na shahawa. Na hutoka kidogo kidogo Mara kwa mara na wakati wa kukojoa huambatana muwasho na maumivu kiasi. Tatizo litakuwa ni nini. Msaada Tafadhali.
  12. R

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Natokwa na ute mzito mweupe kwenye uume na napata maumivu wakati wa kukojoa.sijui tatizo ni nn? naombeni ushauri
Back
Top Bottom