Lakini Kwa hapo nilivyosoma taarifa yao naona si mwekezaji mpya ni Jina Tu limebadilika ,tin inabaki ileile,faili Lao brela inabaki hilohilo sababu kubadili Jina hakubadili incorporation no ,sasa Kwa hapo tax exemption inakuaje
NB :Nimefanya kazi ya kubadili majina ya makampuni Kwa miaka...
Vipi ikiwa wakakupa ' unabii ' kwamba mke wako ni mchawi ,hivyo wakakuambia umuache na uoe mke mwingine toka ndani ya jumuiya yao na ukafungia ndoa ktk kanisa lako.Kama ikiwa hivyo wao ndio wanakuwa wamekuachanisha na mkeo.
Rate ya wanaopoteza ni kubwa huo ni ukweli mchungu na utaendelea kuwa hivyo.
Binafsi siwezi mshauri mtu asifanye au afanye Ila ajipime yeye mwenyewe je ni aina ya biz anayoona itamfaa.
Je Yuko tayari kujifunza mwenyewe kupitia soko bila kuwategemea hao wanaojiita mentors.
Je anapenda na...
Trading haiwi rahisi sababu watu wanaofanya ni wachache au wengi .
Ugumu wa soko uko tangu kitambo.
Ukitazama macro chart ya currency(chart ya miaka zaidi ya arobaini) mfano EURUSD au GBPJPY utaelewa kwamba market hakuna wakati imewahi kuwa nyepesi na kamwe haitakuja wakati ikawa rahisi...
Capital clause : mtaji ikiwa 1,000,000 na ukaamua jumla ya shares ziwe 100 basi thamani ya kila share inakuwa sawa na mtaji gawanya Kwa total number of shares ambapo unapta thamani ya kila share moja ni 10,000.
Kuamua total number of shares iwe ngapi inatemeana na wewe unapenda value Kwa kila...
Abiria wa Kimara wanaotokea kivukoni na gerezani ni wengi na wanajaa sana, nafuu iko wanaojiongeza kuenda kupandia Morocco. Abiria wanaofaidi Mwendekosi ni Kinondoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.