Kaza buti mdau, mi nimesoma bila mkopo UDSM waka 2011-2014, nimemaliza, mama alikuwa anauza maandazi na baba alishaendaga kula mchanga tangu nilipokuwa form four.
Ushauri kaa sana na wana, mimi nilikuwa napigwa support na washkaji had nilipopata demu wa kizungu mwaka wa tatu nikawa nimesahau...
Una kipaji cha kuandika vitabu wewe, jaribu kuomba kuandika article katika gazeti lolote mjini hapa au hata vibe magazine na bang wanapenda sana srticle kama hizi.. your such a creative lady, Kudos! i would have helped you taking it to the next level but i am abroad for a while. Lara keep it up.
Dah kumbe watanzania wengi hawajasoma na hata wenye shahada vichwa vyao vimejaa maji.. kaeni na ujinga wenu wa kutopenda kufatilia mambo.. Hivi unajua chanzo cha IS? Unajua nini America imefanya baada ya kukataliwa kuingia Syria na Its allies Russia?
Unajua Foreign Policy ya America ya...
Kuna watu humu JF sijui wameishia la saba... sasa kwani hawa IS wana uhusiano gani na imani ya Kiislamu? je wanaouliwa wote ni Wakristu? mbona had waislamu wenzao wanawapiga moto na kuwatupa juu toka gorofani! Someni vijana wenzangu msipende ushabiki... akili kisoda
Kuna kidemu cha kimacheni, wallah kile hakitakuja kuolewa, kabinti kanachagua kama chuya kwa mchele... nilikapata kwa kumuibia rafiki yangu chuo kikuu. Mwaka jana kakanipiga chini, miezi iliyopita kalipata mdau nyamihela. Mi nikajua atatulia, juzi eti kamempiga chini kisa jamaa ajaenda...
Nchi kama inashindwa kuwapatia fursa za ajira vijana wao hili ndo bomu alosemaga mzee Lowasa.. Ninachokiona hapa ni kundi la jobless flani ambalo hata halina organization, ni ujinga na kukata tamaa ya maisha.
Kama kuna mpuuzi humu atasema ni uislamu ntamshangaa sana.
Bachelor ya Finance mwaka wa tatu upo kitaa!!!!!!!!!!!!! mwananangu huna shida nyingine ianonekana elimu yako ni desa oriented ila upgrade yourself man penda sana kusoma vitabu, najua hapa tatizo ni uwoga na kujieleza.
Pole kwa huyo mwanamke shupavu ambaye dume lake hadi sasa alijawai kutoka nnje ya nchi.. amezaa jembe la kijiji, mjini ni Dar es salaa. For your information wenzetu wanawaweka kwenye facilities special builty kwa walemavu, wazee, wendawazimu na matahira hadi watoto maaana wote ni disabled.
Mkuu...
We endelea na mapambano kaka, nchi yko kila siku watu wanapiga billions we unefatilia mambo ya dunia nyingine, kwani muislamu nwnzangu ukileta ujinga nikubebe kwa kuwa ni muislamu.... bullshit kwani dini ndo nini?
Wewe waache na dunia yao, wakata Benjamin Netanyau anapiga shule kule Pallestina...
We mnafiki una lolote! nani mwenye pesa anaweza peleka mtoto huko chanaganyikeni? taka taka schools built for for political interest... na kama kweri mtoto wako yupo Kata we ni cleaner tu hapo TAMISEMI Tandahimba.... zile siyo shule na serikali inajua. Ivi we keri una elimu wewe? unajua shule ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.