Habari za asubuhi.
Ninauza kabati la milango mitatu, material ya MDF kwa sh. 350,000
Pia nauza washing machine kwa sh. 550,000
Dolphin, automatic, 12 kg
Inafua, kukamua, na kukausha kwa 90%
Ina miezi miwili tangu inunuliwe na haina shida yoyote
Vyote vinapatikana Sinza kwa Remi
Wasiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.