Sikubaliani na ulichoandika, alimaliza Aga khan Mzizima form IV 1983, na alikuwa class moja na brother wakati huo mimi nipo form III hapohapo Mzizima na wakati huo nilikuwa nasoma na mdogo wake anaitwa Jamila walikuwa wanakaa Upanga, huyo ana 50yrs old.
Queen Esther! Mikopo yote inayotolewa kwenye elimu ya juu inakatwa direct kupitia hazina, deductions zote huwa zinafanywa kabisa, wewe unachopokea ni net salary. Sema tatizo kubwa ni waliokopa wengine wanakuwa hawajaajiriwa na hiyo mikopo inabidi ulipe ukishaajiliwa.
Wewe una akili sana, kwani hivyo vifaa ni sehemu ya mambo waliokuwa wanalalamika madaktali lkn matokeo yake kina Limboka wakaadhibiwa, hizo mashine zitakuwa zinawahusu viongozi walio nje ya Muhimbili, hapo Magufuli anatafuta chanzo cha matatizo yote ndio atoe hukumu ndio maana amemsimamisha...
Kumvisha mtoto hirizi ni ujinga mkubwa kwani hivyo vitu vilifanywa na watu wa zamani kwa kutofahamu lkn sasa hivi mtu huwezi kumvisha huo uchafu mtoto wako ni sawa na kumkabizi shetani mtoto wako.
Big up Zari.
Hamna mtu aliyelaani nchi, tunalaani CCM na kwa kuwa imeshalaaniwa muda mrefu haiwezi kuleta mabadiliko, sasa ni lazima tuchague Chama kingine ili tupate mabadiliko kwani hata Magufuli angegombea UKAWA angeshinda uchaguzi.
Ahsante Edward Lowassa, tumeona changamoto nzito ulizowaonyesha viongozi wa CCM, na kweli wasipokuwa makini na uongozi wao na ahadi tele walizozitoa wajue watatoka madarakani kwani kila baada ya miaka mitano wana mabadiliko wanaongezeka.
Tunakutakia afya njema na amani ya moyo. Mungu awe nawe...
Sio kweli na unachosema, jaribu ku google na uangalie tu watoto wanaozaliwa kwenye mikesha ya Christmas kila mwaka na hospitali tofauti utaona watoto wa kiume wanazaliwa wengi kuliko wa kike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.