Habari wana JF,
Naomba kwa yeyote mwenye taarifa za ajira ya utumishi wa mahakama za tarehe 2/2/2015 anisaidie nimeskia washaita watu kwa ajili ya interview ila sijaona link ya kuangalizia majina.
Asanteni
Naomba kuuliza kwa anaefahamu Wizara ya Kilimo itatoa lini ajira zake tumesubiri sana kimya afu walituzuia kusoma wakisema hadi tuajiriwe tufanye kazi kwa miaka miwili ndio tukasome hadi leo kimya maisha magumu.
msaada wa kupata kazi kwenye sekta ya kilimo tafadhalini,nimehitimu astashahada ya kilimo ma mifugo,, kwenye makampuni ya kilimo au kazi yoyote!!natanguliza shukran kama ntasaidiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.