Habari wana JF,
Naomba kwa yeyote mwenye taarifa za ajira ya utumishi wa mahakama za tarehe 2/2/2015 anisaidie nimeskia washaita watu kwa ajili ya interview ila sijaona link ya kuangalizia majina.
Tatizo hizi nafasi huwa wanatangaza wakati wameishapata watu wao, kati ya mnaoomba, unakuta wanataka mtu mmoja au wawili kujaza nafasi zilizobaki au kutimiza agizo kwamba wametangaza. Any way tunajaribu, huenda nafasi moja hiyo ni yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.