Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa watoto.
Ali kiba, Diamond na wengine mkajifunze mziki kwa hawa watoto sitanii huu ni ukweli...
Hivi no lini tamisemi mtakuwa waungwana hebu toeni majina ya uhamisho.
Mkuu si alisema kila kitu kirudi kwenye utaratibu wake.
mbona mwanitesa hivyo.
CCM serikali sikivu nami nisikieni
Haki inadaiwa kuhama ni in haki yangu
Kesho jumamosi kuna mechi mbalimbali za vpl Tanzania bara. Lakini kilichonisukuma kuandika haya ni taarifa niliyopenyezewa na mtu wangu wa karibu kutoka Shinyanga kutokana na maneno yaliyozagaa. Issue yenyewe ni mpambano wa Stend untd vs Kagera fc.
Katika mpambano huo viongozi wa tff mkoa wa...
Kuelekea uchaguzi mkuukumekuwa na vimbwanga vingi sana kama vile eskrona kujiuzuru kwa mawaziri na sasa kupigwa kwa pr lipumba. Licha ya hiyo ajabu ni hawa wanaharakati wa ccm kuwachagulia ukawa mgombea mara utasikia dr slaa hafai, afande mvuta bangi, zzk ni chadema ilhali wanachama hawamtaki...
Katika chaguzi zinazofanyika kuanzia ile ya 2005 inaonyesha ccm kuporomoka kwa kasi sana. Mfano 2010 uchaguzi mkuu waliporomoka kwa zaidi ya %28, vijiji na mitaa 2014 %25. hali itakuwa mbaya sana mwaka huu huenda wakaporomoka kwa asilimia 25. Hita msaka urais kijana wa ccm hana matumain kwani...
Wadau matokeo kidato cha pili yametoka lakini huu mpango wa gpa umekuwa unachanganya. kuna gpa ya 0.2 ambayo inaonyesha mwanafunzi kufaulu lakini kiuhalisia ni kwamba wamefeli.
Haiwezekani kati ya masomo 11 mwanafunzi akawa na f sita harafu gpa yake akawa amefaulu. huu c uchulo jamani...
huwa najiuliza maswali nisipate majibu kuhusu mikutano ya huyu jamaa huwezi kumsikia mbeya, arusha na hata kilimanjaro. nimejiuliza sana anisaidie au hata nyie wanajukwaa nisaidien
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.