Wee jamaa nadhani utakuwa Le Mu2z, yaani mpaka usikie miguno/kelele za mahaba kwa mwenzi wako ndio unajihisi na wewe umemtoa mtu jasho na ilhali akikohoa kinachomoka... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke wa ndoa au mpenzi sio mama ako useme huezi kumkana ama kumwacha.. Mtu akishindwa kujiheshimu na kukuheshimu akafikia hatua ya yeye ndio anapanga namna ya kuruka debe nje huyo pigia mstari mwekundu jina lake mwambie aende huko anapoona ndio pananoga. Huezi kuwa unajinyima kwa ajili ya...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo ya mshana jr na archive zake zilizotukuka.. Ila tambua mwanamke akikuzid umri jitahidi kula protein kwa wingi sana ili uweze kubalance unachotoa (sperm) na unachoingiza (afya).
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itabidi nitifue tu uchaka maana hamna namna bwashee, hafu kuna mdau anaitwa Sonia G anadai alitegemea kukuta ushuhuda badala ya mitazamo. Ombi lako nimelisikia ntalifanyia kazi ASAP
Chief , unajua siku zote ya darasani asilimia kubwa hayatumiki ktk maisha ya uhalisia. Acha kukokotoa hesabu za umri mwaga maoni na ujuzi wako.
Ukianza kutaka kujua umri utatoka nje ya mada
Mie wa kium ndio maana. Ww una vichwa vingapi..!? Kama unakimoja tuu basi hebu njoo inbobo tuone namna ya kuunganisha vichwa. Popote penye vichwa vitatu huwaga kuna mambo mazuri yanatokeaga. #utatu_mtakatifu
Habari zenu wanajukwaa pendwa la MMU.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, napenda kusikia maoni yenu kutoka mitazamo tofauti tofauti ya kidini/imani na kidunia.
Swali hili limekuja baada ya kuwa nchi ya kigeni ambayo wana tabia za kibaguzi hivo kuingiliana nao ni ngumu, sasa...
Hilo napinga kwa asilimia zote mdau, mtoto ambae anaonyeshwa mapenzi na wazazi wake huwa huru zaidi kufanya lililo akilini mwake hivo rahisi mzazi kumrekebisha mtoto kwa upendo kama anakosea( hapa naongelea mzazi asie limbukeni ). Ila unapokuwa mbali na mtoto huku unajidai mgumu ama mkali...
Wanajukwaa naomba muelewe kitu kimoja kikubwa kuhusu CHUO. Chuo ni mahala ambapo wahudhuriaji ni watu wazima ambao wanajielewa na wapo pale kutafta ujuzi na elimu itayowawezesha kupata ajira,kujiajiri na kuondoka kwenye utegemezi ili waanze kujitegemea. Hivyo unaposikia mtu yupo chuo fikiria kwa...
Sasa ww unataka umtongoze mtu kwa mda gani..!? Kwa kawaida mara moja inatosha, kama umempenda kweli dhati basi mara tatu ndio kipimo. Mtu kama amekuelewa na anataka mpeane nafasi hana haja ya kujifikiria mda mrefu, ukiona anakuzungusha jua upo katika mizani ya je aje kwako au aendelee...
INAENDELEA episode 2:
Pastor Derin Hughes looked at his reflection in the mirror and knew that he looked good. If there was anything he had learnt in his years at Unilag, it was how to package oneself. He was sure that his appearance would convey the aura of a very successful Man of God to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.