Habari wakuu,
Kwa ufupi, nimekuwa nikifanya punyeto kuanzia 2003 mpaka February 2019. Iliniathiri sana kisaikojia na imenivurugia malengo yangu kwa kiwango kikubwa, wengi wanaofanya wanajua fedheha na madhara yake.
Nilijaribu kuacha miaka yote hii lakini nilikuwa nafanikiwa kwa muda mfupi tu...
Wakuu habari za muda, kwa ambao wamesoma CPA (uhasibu). Naomba materials na past papers za foundation stage...nahitaji kununua...no 0658327429 DSM
Natanguliza shukrani.
Wakuu,
Naheshimu mkataba wa milele wa ndoa ya kikiristo, na sio mshabiki wa ufahari wa siku moja. Naomba ya jinsi gani nifanye sherehe ya harusi isizidi milioni moja, labda kuna watu wengine walishafanya hivyo. Nahitaji msaada wenu, najua mchanganuo wenu utakuwa msaada kwa wengi pia.
Mungu...
Nina mpenzi ambaye naona kuna tatizo japo yeye hayuko wazi kunieleza ukweli.
Tatizo kubwa ni mawasiliano,ni kwamba mm siku zote namtafuta yeye,mara moja moja anapokea simu,mara nyingi hapokei,nikituma msg hajibu,inaweza pita miezi bila yeye kunipigia au kutuma sms hata kubip tu.
nikimuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.