Wadau ningependa kujua kwa anaefahamu kama zile kazi za wahasibu tanroads lindi zilizotangazwa mwezi wa 5 kama tayari wameshaita kwa ajili ya usaili au bado
Je ni kweli kwamba ejaculation kwa mwanaume inasaidia kupunguza uzito? kama ni kweli ni kwa kiasi gan per single ejaculation?
je a single ejaculation ni sawa na kukimbia kwa umbali gani?
msaada tafadhali
Wadau issues/bases zangu ni kama zifuatazo:
1. Ulindaji wa rasilimali za nchi kama madini,gesi, ardhi etc
2. Vipaumbele vya matumizi ya kodi za wananchi na fedha za wahisani
3. ukusanyaji wa kodi na marekebisho ya sheria za kodi
4. Rushwa na ufisadi
5. Uboreshaji wa elimu
6. Ufufuaji wa viwanda...
Kampuni ya IPTL imetangaza kazi ya assistant accountant.
Title
ASSISTANT ACCOUNTANT
Location
Dar es Salaam
Job Information
Job Purpose:Supports financial decision-making information by collecting, analyzing, investigating...
Sekretariati ya ajira (PSRS) wanaposema hand delivery hairuhusiwi, je ina maana hata kutuma kwa EMS barua inakwenda moja kwa moja kwenye ofisi za mhusika nayo EMS hairuhusiwi?
Msaada tafadhali
WADAU CAMERA YA MBELE YA SIMU YANGU YA huawei y300 imestop kufanaya kazi. nikifungua app ya camera sioni option ya front camera.
na pia sioni sehemu ya kuondoa sauti ya camera,
nifanyeje?
Mimi ni kijana ninaeishi na kufanya kazi Dodoma, mwezi desemba nilienda kumtembelea binamu yangu alieolewa Dar es salaam, anaishi maeneo ya ukonga.
Kuna matukio yanayotokea na kunishangaza,sasa chumba anacholala binamu yangu na mme wake vinapakana na choo na bafu kama mara tatu hivi wakat...
Inashangaza sana Mauaji ya albino linafanywa suala la kisiasa. Jk anaunda kamati ya kufatilia mauaji ya albino. hili ni suala la kiuhalifu ambalo polisi na vyombo vya uchunguzi na usalama vingefanya kazi yao wangedhibiti hivi vitendo sasa leo HII JK ANAUNDA TUME ILI IKAFANYA KAZI YA POLISI AU...
Nilikuwa naangalia habari ya ITV, wanaonesha mashangingi pamoja na defender za polisi zikielekea kwenye uwanja wa vita. Sasa najiuliza haya mashangingi tunayojua yanabeba vigogo wa polisi yanaenda kwenye uwanja wa vita kufanya nini?
Jamani hata kwenye maandamano mashangingi huwa hayaji, sasa...
Wadau naombeni kujua je wale walioitwa interview tra mwezi december 2014 na kuwa shortlisted kwa oral interviw pale tumaini universitywameshaitwa kazini au bado?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.