Anayeoa haoi dini. Kama dini ikiwa kikwazo iache karibu kuwa RAIA WA SERIKALI TUKUFU YA UFALME WA MUNGU. Hapo hapana ugomvi, wote watakaokuwa wamekwazwa na maamuzi yako, watakuwa hadhira yako kwa kushuhudia mabadiliko, hadi mwishoni watakukubali na kukusifu.
Ungetuuliza wakati ulipoanzana naye majibu yetu yangekuwa msaada kwako. Sasa ushauri wa kweli kwa hali oligopoly ni huu KAA NAO WOTE, KAMA MAJUTO NI MJUKUU. YAMEKUSTAHILI, KWANI UNAVUNA ULICHOPANDA. Usithubutu kumkimbia huyo mke mdogo, kwani uzoefu huo wa kumkimbia utakufanya siku si nyingi...
Pata maelezo toka bodi ya Biashara za nje ili ujue walaji wanahitaji nini huko. Kuhusu mtaji waza vema mtaji mkubwa ni faida kubwa. Kopa ukishakuwa na hakika ya aina ya biashara usiwaze mambo ya mtaji mdogo.
Serikali zetu zibadilishe mfumo wa kuangalia vyeti badala yake waangalie uzoefu kwa maana ya uwezo wa mtu binafsi wa kufanya mambo,sawa na nafasi a nayoiomba kuitendea kazi.
Usihukumu hivyo,hata wewe watu wanaweza kukuita Alqueda ama chochote kile kinachohusiana na ugaidi wakati kwa kuyaangalia madevu yako hayo ya picha,haijalishi huko uliko hata uwe na kipara.Ukitaka kuutafuta ubaya wa mtu yeyote anayeishi hapa Duniani hakika hautaukosa.Lowassa,kama wanadamu...
Unauliza swali ambalo una majibu yake.Au wewe husomi na kuangalia alama za nyakati?Maelfu ya wanaomiminika kumlaki na kumdhamini,ndiyo wanaoitoa kauli hiyo kwamba hatutakubali jina lake kukatwa na si Kingunge.Yeye Kingunge anaiwakilisha sauti ya wengi,kwa hekima ya kisiasa,kama ujumbe wa...
Unayemkufuru Mungu,ni wewe unayemuita mpuuzi.Hivi nafikiri Mungu anangalia Fitna za Wanadamu na kuziamini kuwa ni Kweli?Mungu hana uroho wa kupenda fedha,yeye huangalia MOYO MNYOOFU.Nikusaidie kumjua Mungu Nabii Musa aliwahi kuua,kabla ya Mungu kumpa jukumu hilo,la kuwaongoza Wana wa Israeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.