Heshima kweni wakuu. Nilikuwa nasikia halafu nikajionea mwenyewe. Mtu anapiga kelele, kutetemeka na kusema maneno ya ajabuajabu eti kapandisha shetani.
Inakuwaje sipati jibu. Nawaombeni mnielimishe kuhusu hili karibuni wakuu.
Tunaona na kuvitumia vitu vya wazungu kama magari, TV, Simu, silaha na vinginevyo vingi tu. Waswahili nasikia nao wana, ungo wa kusafiria pia wana silaha kama, usinga, tego, mkweche, puju, zongo mwangeni, na kadhalika.
Kwanini waswahili hawaweki wazi silaha hizo na kuzingiza sokoni?. Mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.