Habri za hiv punde Salary hakuna, serikali inadaiwa na NMB kumbe NMB ndo walikuw wanatulipa mshahara katka mkataba wa miez 8. Sasa umeisha wamegoma kutoa tena. Sasa serikali inaongea na CRDB kuona kama itawakopesha watunusuru. Tuendlee kumuomba mungu lifanikiwe.
Nimemkubali sana zitto kwa majibu yake juu ya maamuzi ya kamato kuu. Ya msingi yana majibu tunasubuli majjbu ya chadema kwa maswala ya msingi yaliyo ulizwa na zitto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.