Mapfa,
Mwana jamii. Kuwa makini mate hawa jamaa wa West Africa esp Nigeria,Senegal kote huko wanajifanya wako smart wana pose kama wanawake wazuri kutaka kuibia watu kwa Zawadi za laptop,Camera na vitu vya thamani kama hivyo. Wanaomba utume postage charges ili wakutumie Zawadi zako. Achana nao...
Wapendwa wana jamii, Poleni na majukumu.
Naomba mwenye kujua wapi naweza pata hizi machine za kukamua juice ya miwa na bei zake tafadhari, nafikiria kuanza huo mradi nikiipata hiyo machine kama Mungu akinijaalia.
Asanteni.
Mh. Jenister Mhagama ametengua moja ya kanuni ili kutoa Room kwa wageni waalikwa kukaribishwa ndani ya Ukumbi wa Bunge wachanganyike na waheshimiwa wabunge Ukumbi, hii itasaidia angalau kuziba gaps za waheshimiwa wabunge wa upinzani ambao hawatakuwemo Bungeni wakati mh. Rais atakapoliutubia...
Muda si mrefu mbunge wa CDM, mh.Sugu akijibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na mh.Martha Mlata CCM kuhusu kesi yake na mama mtoto wake iliyotolewa hukumu in favour of mh.Sugu. Mh. Sugu ameonekana akifuta machozi na handkerchief mara baada ya kumaliza kujibu tuhuma hizo Bungeni.
Siasa bwana!!
Ni wazo tu na nimeona ni biashara nayoweza kuifanya na kuhusu Mbeya siifaham sana ila nina ndugu pale wanaweza kunisaidia kwa namna moja au nyingine @ nzalendo
Ndg zangu Wanajamii,
Nimekwama naomba ushauri, nimepata mkopo wa TZS milioni 5, nina wazo la biashara ya jumla ya kununua gunia za Mchele toka Mbeya - Mbalali na kuleta hapa Dar na kuuza kwa jumla masokoni.
Ombi langu wenzangu, mwenye ufahamu wa biashara hii kabla sijaianza naomba tafadhari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.