Katika comment ya kipuuzi niliyoisoma Moja ni hii, kaisome Katina ya Zanzibar na Ya JMT inasema kuhusu idara maalum za SMZ. Then njo na rhetoric zako za kipuuzi. Au ndiyo hasira za mama kukuacha solemba baada ya kujaribu na kujifanya chawa. Kama yule msukuma mwenzaki hakukuona. Ujue wengine...
Kwani safari za ndege hizo ni A kawaida na watalii wanakaa hotel Zanzibar Asubuhi wanachukua ndege na kwenda kwenye Mbuga za wanyama.moja kwa moja na ipo kwa mbuga zote lakini kwa ujinga wako ndiyo unqtaka kuanzisha taharuki kuwapata wajinga wenzio.. Ukienda uwanja wa ndege wa Nungwi hizo ndiyo...
Mengine hili. Tanesco ilikuwa ikiuzia umeme huku ikiitoza VAT tunajua yankuwa VAT analupa mtumiaji wawisho. Lakini tenesco haijasamehe Deni bali lile semi la VAT ambalo ZEKO imegoma kulipa. Elimu ji muhimu sana
Wacha kupotosha watu. Juzi raisi Mwinyi amechukua commercial loan ya NMB na CRDB ya 450bil Tsh kwa ajilinya ku finance miradi hiyo. Na zinajengwa 200km tu. Sasa mama Samoa amehusikaje hapo?
Kwani imechukuliwa? Usotisemee.. Sema wasukuma, wachaga na wafuasi wa TEC. Kama udini mmeanza nyinyi. DP atakuja tu kuwekeza kwenye bandari wewe kwenu kagera na shinyanga Dar inakuhusu nini au mnataka tugawane mbao!!
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
WACHATUSEME NA.2
TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha Bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
Wacha uwongo.mjinga mmoja wewe! Karafu ya morogoro inauzwa Kenya. Na chengine naona unazubgumzia vitu huvijui. Taasisi inayoshubulikia karafuu ni ZSTC ambayo.ikonchini ya wizara ya biashara ya znz na siyo.kilimo.
Rudi tena kajipange ulete uchongani mwengine.
Kumbe wewe wale walikuwa wakikuuita upuuzi, mvuta bangi, mtafuta kiki.kumbe hawajakosea. Kwanza fuatilia vizuri vp znN iliweza kumiliki ile ardhi? Na hivi unajua ya kuwa Serikalini ya Jamuhuri ya muungano inamiliki ardhi kubwa sana znz? Na inaonekana unaropokwa tu huijui znz wilaya ya...
Umeme znz ni ghali kuliko bara. Point ya mbunge ninkuqa ng'ombe akitoka T.bara kwenda ZNZ analipishwa kodi kama anasafirishwa nje ya mipaka ya Tanzania.
Wacheni ujinga kwa kukurupuka kuandika. Hiyo ni miradi pesa za uviko zile 1.5bil kutoka world bank( kama sijakosea). Pesa zimeyolea na Jamuhuri ya muungano. Kwa hivyo auditing yake inafanywa na GAG wa Tanzania.
Suala halitaki akili kulijibu. Kikwete aliweza kuongeza maslahi ya wafanyakazi wa afya kuliko kiongozi mwengine yeyote wa Tanzania. Kwa hivyo Magufuli anaingia madaraki alikuta tayari kikwete ameshatengeneza maslahi ya madaktari. Na hawakuwa na sababu ya kugoma wakati.wa Magufuli kwani 80% ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.