Angalienii uchaguzi wenu wa vyuo kuna vyuo mbuzi sana skuizii ukiona umekosa chuo cha government unatabu asee ajira zikitoka wale wa vyuo mbuzi hutoswa nadhani mnavijua vyuo vipokimaslahii havina hospital kubwa karibu na chuo chuo kikifundishwa baadhi ya magonjwa kuyaona mbaka wapande gari...
Kakaaa mkuu chekii kwenye Gmail yakoo sehemu inayoitwaa spam baada ya kutumia laptop au desktop tuu ila kwa handphones izii kwelii hazina nguvu za kuleta majibu ya new password yakoo nenda kwa device kubwa ka laptop au desktop uka request for new password afuu ingia kwa Gmail yakoo utaona sms za...
Duuu sema ni vizurii piaa kujua password ingawa ulishaaply sababu kuna wakati wanawatosa watuu na kuwataka waaply upya tuliza akili au kavipi nipe email yakoo nkusaidiee kijana yakitokea ya kuapply mara ya pili hapoo lazima udate maana hutakiona hata chuo kimoja cha government ntumie email yako...
Mliosahauu password zenuu nendeni forgot password?? Afuu mrequest fo new one alafuu nenda kwenye email yako sehemu inaitwa spam utaona email mpya waliokutumia nacte
Kama unavigezo utapata tuu mkopo sema inabidi ulipe 25% ya pesa yote walizokupatia ndo utakuwa kwa check list za kusaini pesa zao ila kimtandaoni watakupa mkopo ila kwa majina yakija chuoni ya kusaini pesa zao hautakuwepo kwa ndichii ya fasi dwasiii ndo utakapo changanyikiwa
Nyieee ma form 6 failures tumewachoka kilasikuu nyinyi tuuu achenii hizoo bhana mnakua kawatoto wadogo si humu jamii forum tuwatolee maamuzi auu??!! Nawashaurii achenii chuo muapply upya muonee kazi kupata chuo na marks zenu za BRN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.