Sakayo kuna kipengengele sijakifanya muda saaana.
Asante yaani kila weekend nitakua natoka na dada na mwanangu maana ndo furaha yangu pekee.
Alafu mimi msichana wa kazi nikimuondoaga huwa anangangania hataki kuondoka maana ki ukweli hao viumbe nawaheshimu maana anaweza hata akakuokoa maana kwa...
Mama alinishauri sana kabla sijafunga ndo niwe makini na mtu ambae atanioa ila pamoja ns kuona viashiria vingiii tu ila nilisema labda uenda huko mbele mambo yatabadilika
Kuna mambo siwezi saana kuyaongelea kwa maandishi ni mengi
Ila tulipendana na huyu jamaa mwanzo kiasi kwamba tulikua tunakesha kuchati na kuzungumza kwenda sehemu mbalimbali na mambo kama hayo
Ugomvi mkubwa kuwahi kuyokea baina yangu na yeye ni ndugu
Na kucheat nishawahi komfem kafanya hivyo ila...
Familia ya kwao kwao.
Ila hapa ni familia yetu yaani na mimi ni mmoja wa wanafamilia.ningekua niko nje ya hapo haya yasingenisumbua.
Hiyo solution ya kuachwa ndo nilishaiongelea hapo juu kwamba aliezaa nae mwanzo alipigwa vita mpaka akaachwa na yule dada mwwnyewe ana kiri chanzo ni nini.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.