Jamani naomba msaada nini nifanye, nimemwona aliyeniibia simu yangu kwenye kamera live. Sasa ofisi inaendelea kufuatilia information kupitia huyo dada aliyekuja naye.
Je, sasa hatua gani nichukue kwa kuwa tayari tumepata namba ya simu ya huyo aliyekuja naye. Tukio zima limeonekana kwenye kamera...
jamani wana jamnvi nataka kufungua mradi wa gym ya kisasa, je nini mahitaji na vifaa vya msingi kuanzia ni vipi. Naweza kuanza na kiasi gani maana gharama ya vifaa hivyo sijajua bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.