Search results

  1. J

    Mafuta ya taa (kerosene)

    Yaliitwa mafuta ya taa (tar) kwa sababu yalitengenezwa kutokana na maligafi inayoitwa tar ama kwa neno jingine asphalt
  2. J

    Nilizaa na mwanamke mtoto wangu kapewa mume mwingine, nifanyeje?

    Hapo huna chako, heri baba kambo kuliko mama kambo,maana hata ukifanikiwa kumchukua bado mateso anayo weza kuyapata kwa huyo mkeo ni makali kuliko.
  3. J

    Je, ugali wa mtama unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

    Nasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda sasa, tatizo langu ni chakula gani kinafaa maana nimekuwa nikitumia ugali wa mtama lakini niki pima nusu saa baadaye nakuta imepanda mara mbili zaidi, naomba kujuzwa tatizo ni nini.
  4. J

    Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

    Katika jamii zingine kuoa mabinti wawili kutoka familia moja ni jambo la kawaida na sahihi kabisa, isitoshe ni heshima kubwa pia, hivyo kwa ufupi tu nakusihi endelea kuishi vizuri tu na mke mwenzio.
  5. J

    Ndoa yangu hatarini, napewa unyumba kwa kulazimisha

    Yani dawa nzuri kabisa ni kuongeza mwingine, hapo utapewa tu sasa, ukikosa huku unaenda kule.
  6. J

    Lowassa akosa sifa za kuwa rais wa Tanzania

    Hiyo Golden Cresta iko mtaa gani hapo Mwanza
  7. J

    Mahakama ya mafisadi, kesi namba moja itafunguliwa Richmond

    Nasikia uuzaji wa nyumba hizo pia ulipata baraka za baraza la mawaziri na mwenyekiti huwa ni waziri mkuu.
  8. J

    Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

    Nadhani ilikuwa vizuri ange pokelewa na Chadema kwanza ndiyo baadae ukawa tofauti na ilivyo fanyika kukaribishwa na viongozi wa ukawa
  9. J

    Mtoto wa nje ya ndoa

    Mkeo alitegemea nini kukuacha na house girl!
  10. J

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Naomba masaada wenu wana jf doctor; ni ipi tiba nzuri kwa UTIs, nimetumia:- aminoglycosides, fluoroquinolones, aminopenicillins na zingine nyingi lakini bado sijaona mabadiliko.
  11. J

    Mnyika unaleta vurugu Bungeni wakati Ubungo Makoka barabara imechakachuliwa

    Kwani sheria za usimamizi wa miradi ya halmashari zikoje, sidhani kama mbunge ana paswa kusimamia kwa jinsi unavyo eleza maana kama sio taluma yake itakuwaje sasa.
  12. J

    Hospitali binafsi zinaelekea kupoteza maadili ya kazi

    Hivi madaktari hawa wa hospitali za binafsi kwa ushauri wao wa vipimo vingi licha ya kuonyesha dalili zisizoendana ni sahihi kweli mfano una dalili za malaria unashauriwa kucheki malaria, kisukari au na choo, au dalili ni za typhoid unashauriwa kucheki ulcers na typhoid pia au mwanamke mjamzito...
  13. J

    Be aware of ripe banana!

    No both are correct words try to dig deep into your books you will possibly come up with a good explanation.
  14. J

    MSAADA:-No such interface supported

    Nina shida katika computer yangu, natumia windows 7 na katika kugusa gusa nilijaribu wakati fulani ku edit user acc na toka wakati huo kila nikijaribu kufungua folders:- my computer, documents, control panel na zingine nyingi napata kijisanduku kidogo kilicho andikwa Explorer.EXE na ndani kuna...
  15. J

    More than serious nahitaji mume wandugu

    Jamani amesema yeye ana umri wa miaka 32 na hana mtoto na wala hajawahi kuolewa na pendekezo lake ni kwamba apate mchumba mwenye umri wa kati ya miaka 33-43 na sifa zingine zote alizozitaja yani elimu, ajira na hali ya ndoa
  16. J

    tofauti ya tobo na tundu

    Nadhani tundu ndiyo fasaha lakini tobo linaoneka la mitaani labda wali fupisha neno toboa, mfano huwezi sema toboa tobo bali utasema toboa tundu, lakini kwa uhakika zaidi wasiliana na BAKITA
  17. J

    Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

    Hivi unamaanisha REBELS kwenye kichwa cha habari au una maanisha nini na hii LEBELS
  18. J

    Neno lipi ni kiswahi fasaha

    Na vipi tukitumia mifano mingine bado itaonyesha wakati uliopita:-Mtoto amekula, mtoto anakula. Baba ameondoka, baba anaondoka ni ipi itaonyesha wakati uliopita na ipi itaonyesha wakati uliopo.
  19. J

    Neno lipi ni kiswahi fasaha

    Nilikua na maana kwamba imezoeleka kutumia neno amelala ambalo ni wakati uliopita badala ya analala kuonyesha wakati uliopo yani kitendo kinaendelea na kwa maana hiyo utaonekana umekosea na utasahihishwa kwa kuambiwa amelala.
Back
Top Bottom