Kumbe Alex Kajumulo ni mwanzilishi wa taasisi ya kupigania haki za mashoga Afrika! Huyu hawezi kanyaga Uganda.. Sasa sijui na yeye ni mmojawao?
Ingia kwenye linki hapo chini uone.
Leo Dr. Hussein Mwinyi alikuwa akitolea mfano wa uchumi wa visiwa unavyotegemea sekta fulani fulani na kwa confidence zote aliitolea mfano Dubai kama Kisiwa chenye free Port! Pia alitaka ushuru wa TRA uwe sawa Zanzibar na Bara. Sasa ushuru ukiwa sawa si ndio utaua kabisa biashara ya Zanzibar...
Mke wa Lipumba huyu hapa kwenye link chini. Huwa hataki kujihusisha na mambo ya siasa ya Lipumba kabisa, nadhani wamekubaliana hivyo.WARSHA YA WANAHABARI WA MKOA WA DODOMA KUHUSU UZINDUZI WA MPANGO KAZI WA KUTOKOMEZA UKATILI KWA WATOTO. | JESTINA GEORGE
Inaelekea watu wengi humu mnacheza na kuguess tuu au kuendekeza unazi wa Simba na Yanga. Pia kwa kuwa amlikuwa mnafuatilia mpira kwa kipindi fulani basi wachezaji wenu bora ni wa wakati huo tuu. Ukitaka kufananisha wachezaji wa wakati fulani na fulani fanya kwanza utafiti jua walicheza na akina...
Wakuu nashangazwa sana na kasi ya hii serikali kushikilia kujenga mradi wa majumba ya kifahari Kigamboni kana kwamba ndio suruhisho la umaskini wetu. Nchi yetu haina maji safi sehemu nyingi na umeme wa mashaka kila siku lakini tunaona Mabilioni yakawekezwe kwenye majumba ambayo hatujui nani...
Hata EPA na Richmond zilianza hivi hivi wakasema ni Uongo, mara oooh baadae ikadhihirika ni kweli. Serikali hata siku moja haiwezi kubali makosa. Kibonde inabidi na yeye atuthibithishie kuwa anachosema ni kweli sio maoni yake tuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.