Pole sana kiongozi,wataarifu hao jamaa wa vodaKiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
hebu jalibu hii tuamini ukwel wako 0756405597
Mimi naweza kuona sms za mtu yeyote na sifanyi kazi na mtandao wowote na simu. So its very possible kwamba hata voda hawajahusika.
Ukibisha nipe namba yako nikuanike hapa hapa JF.
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Mimi nabisha na namba yangu ni hiyo anza kunianika O713 800 800
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Sina hakika ya usemayo mleta mada kwani,
1. Je huo ujumbe uliandika ukasave kwenye simu yako??
2. Je hakuna mtu aliyeshika simu yako?
3. Kama ulimtumia mtu, je huyo uliyemtumia ni msiri kiasi gani?
4. Je simu ya mpokeaji haikushikwa na yeyote?
5. Aliyekuelezea siri zako analengo gani mpaka akufuatilie kwenye mitandao? Na kwa nini iwe kwenye siri hizo tuu?
6. Je kakuhakikishia kua kapatiwa na company husika?
7. Unavidhibitisho tosha kua company husika ndiyo wametoa siri zako?
These are the qns to ask kabla ya kutuhumu compny husika kwani kwanza mpaka mtu apate kufahamu ujumbe uliotumwa na mtu ni kazi sana hata police lazima awe na repot maalumu yenye kueleza kwa nini apatiwe. Mazungumzo au ujumbe hautolewi kirahisi yaani mtu aende tu then apatiwe. Unless there something bihind hiyo siri yako.
Ushauri anzia police ili alokuletea hizo habari aseme alikopata then kama ni compny husika tcra wapo free kuwaona usikae kimya itakusaidia wewe na mtu mwingine yeyote.
utatoka povu bure cku hizi kuna apps za kusave sms hata kama umezifuta na hata call plus namba kinachofanyika baadae ni kuzitoa kama unavyotoa file kwenye flash chunguza simu yako kwanza pole mkuu na kwenye haya makampuni ya simu kwa vodacom nimepata kuwa hapo suala la mtu kusoma sms ni ngumu mnoooo na ni wachache mnooo na wanalipwa vzr wenye hizo access hawawezi fanya hvy
Hakuna sehemu unapoweza kuona content ya sms...huo ndio ukweli.
No ya tigo customer care hiyo
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!
Kiwango cha uaminifu kwa company ya mawasiliano ya Vodacom inatia mashaka sana.
Nikiwa mtumiaji wa mtandao wa voda yamenikuta baada ya kugundua sms zangu zimevuja tena mbaya zaidi bila ridhaa yangu.
Kuna mtu ameweza ku access siri zangu na ameniambia neno baada ya neno kuhusu sms zangu. Tena mimi na yeye tupo mikoa tofauti.
Hii ni mbaya sana sana sana maana mimi si mwalifu na zile sms ni za personal ila za siri na hapakuwa na sababu ya kuzifikia maana zimeniondolea utu mbele ya yule mtu!
Nimeumia sana siwezi elezea zaidi ila voda na baadhi ya wafanyajazi wake si waaminifu!
Mimi si mwajiriwa wa company yoyote shindani ya mawasiliano hivyo ninayoeleza si mambo ya ushindani.
IMENIUMA SANA SANA SANA!