Nimeskia kuwa regina mwalekwa amesepa redio one na kwenda kule kwa yale majike yasiyojua kiswahili fasaha i mean kibonde, gadna etc!! Tena jana nikaona katumi ikimwonesha jamaa aitwae miladi akisepa kutoka redio hiyohiyo yaani redio moja eti anamkimbia m-bichwa! Akisema "regina nisubiri twende...
Lowasa si waziri mkuu mstafu wala hakujiuzuru bali alifukuzwa kazi na bunge.unapomtaja lowasa kumbuka kusema 'waziri mkuu aliyefukuzwa' sio aliyejiuzuru ok? Usiwe kimeo kama tbc1
msomi ni mwenye elimu ipi? we mtulutumbi vipi? labda useme wangemweka mtu msafi na mwenye msimamo ingekuwa vigumu kumkontroo, usiseme msomi kama ni usomi yeyote mwenye elimu ya juu ni msomi.anyway, mtulutumbi maana yake nini?
Namchukia ana makinda toka moyoni. Alikuwa na chuki mbaya dhidi ya hayati chacha wangwe, hivyo simfagilii hata kidogo. Alikuwa anamchukia wangwe kwa kiwango cha kutisha na alikuwa hampi mwanya aongee au aulize ama kufafanua jambo.i still hate this fuckin mom
Nkoboiboi, umenipa faraja. Thanks alot! Tupo pamoja.mungu ibariki jf, mungu ibariki tz, mungu ibariki chadema, mungu azidi kuwabariki watz wote wenye mapenzi mema.
Sikujua kama mtaipokea negatively idea ya kufungua akaunti kwa ajili ya dr. Slaa!hakika sikuwa na lengo baya, kilichonisukuma kuleta wazo hili ni kutokana na watu kudai kuwa dr. Anaweza kuona kama vile alikosea kugombea urais kwani atakosa mshiko wa ubunge! Mimi nikaona kama ni mshiko si lazima...
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa...
Inabidi umuombe sugu radhi. Sugu ni mtu makini, mwanaharakati, na mtetezi wa haki. Iweje leo aongee lugha moja na vicky kamata ambaye si mwanaharakati bali ni mtu wa kujipendekeza na kujikomba kwa viongozi? Kumbuka vicky hana tofauti na ephaim kibonde. Pia nafasi ya vicky amepewa zawadi au hongo...
wana jf mwakifahamu kifaa cha baiskeli kiitwacho kota pin? Ukitaka kukiondoa kwenye baiskeli unakiondoaje?
nimefanya utafiti kina ktk kipindi hiki nikabaini kweli watanzania hawaitaki ccm katukatu na sio siri wajinga wachache ndio walioipigia kura! Watu wengi wanajiuliza ni wapi hasa ccm...
sawa kabisa maandamano yaje, ccm imemwaga mboga wananchi kuanzia ijumaa tunamwaga ugali, mbwai mbwai bwana, tumechoka ala! nasisitiza: Ni bora nife nimesimama kuliko kuendelea kuishi huku nimepiga magoti.
wananchi wa tarime wamedai kuwa watamkataa kwa njia wanayoijua mbunge mteule wa ccm , nyangwine!
msemaji wa kamati maalumu itakayohakikisha kuwa azma hiyo inatekelezwa haraka na kama walivyopanga (jina nalihifadhi) amesema:
'tumemkataa huyu mgombea wa ccm kwa kumnyima kura lakini tume...
eti nini?! Mnaogopa machafuko? Kum**nina zenu!! Yaani tukae kimya haki zetu zinaporwa?
hongera dr. Slaa kukataa matokeo ya kipuuzi haya. Kama noma na iwe noma.
ni bora kufa nimesimama kuliko kuendelea kuishi huku nimepiga magoti. Kama vipi tuzame mstuni au mwasemaje wabongo?
kama mimi unaniona sina akili, punguani kwa sababu namuunga mkono Jk, jee wazee wako waliokulea wenye msimamo kama wangu unawaonaje?JK TULIA IKULU, TUMIKIA TAIFA LETU,JENGA NCHI NA WAHUDUMIE WANANkama mimi unaniona sina akili, punguani kwa sababu namuunga mkono Jk, jee wazee wako waliokulea...
JWTZ WANAMAANISHA NINI? HAKUNA HAJA YA WA TZ KUPIGA KURA AU...?
KWANZA, JE HILI LILIKUWA TAMKO LA JWTZ AU LA SHIMBO? JWTZ AMBAO TUNAWAHESHIMU HIVI WANAWEZA KUCHIMBA WATU MKWARA WA KIPUUZI KIASI HIKI? NILIKUWA SIJUI KUWA SHIMBO NI KIMEO KAMA MAKAMBA! USWAHILINI MAKAMBA TWAMWITA msukule wa ccm...
TUAJIRI RAIS WA KIGENI AIKOMBOE TANZANIA
Inashangaza kuona taifa letu likiendelea kudorola kiuchumi lakini hakuna anayejali! Nchi imeelemewa na mzigo wa viongozi wenye upeo duni wa kufikiri, wanafiki, wababe, mafisadi, na wabinafsi. Wanakumbatia mambo ya hovyohovyo ilimradi tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.